Inaogopesha sana kama si kushangaza bunge kusimama dk 1 kumkumbuka kanumba,wakati kuna IGP,ambaye kiutendaji yeye alikuwa kiranja wa police,hajatajwa hata kidogo huu ni uhuni.na tbc 1 inaonyesha live kuaagwa kwake,pale leaders haya maigizo yakitaifa leo.