kweli bunge la sasa bongolala

Mahakama na siasa wapi na wapi?ndio maana mafisadi wanakua juu ya sheria na mahakama!
 
Hivi wanafikiria wapinga kura wao hatuwaoni? TV zinatuonyesha jinsi wanvyoboronga huko na tunawasubiri kuwaadhibu kwenye uchaguzi. Acha wafanye mambo hovyo hovyo .
 
Machozi yangu ni kwa yale majimbo yaliyowapitisha wabunge wa ccm ambao wanatumia advantage yao ya uwingi vibaya. Amkeni 2015 tufanye kweli.
 
Huyu atakosa kuwa kwenye listi ya Dr huko Tabora kweli? hao waliomlipa kugombe uspika nina uhakika wamo. Laiti wangekua wanamaanisha wanachokifanya hao wavua gamba.....huyu mama nae ni waku-shake off kabisa!!Shame on her! Anadhalilisha sana wanawake huyu!
Nadhani ni zamu yetu sie waTanzania tumtoe huyu spika madarakani, na kama hatutafanya hivyo basi tukae kimya na tusilalamike kabisa.:yawn:.
 
Anaachosema Lisu ni kweli ila tatizo la Lisu ni kuwa haelewi ni wapi pa kusema hicho anachokitetea. Kwa katiba tuliyonayo hayo anayopendekeza hayatekelezeki kwani yanaenda kinyume na katiba, Ndo maana hata werema, chenge na celina na hata makinda akamwambia kwa katiba hii haiwezekani ila kwa katiba ijayo tuingize vipengele hivyo
Hata nyinyi humu JF acheni upotoshaji kama alivyoambiwa lisu
 
pia kile anachokipendekeza lisu hakiwezekani kwa wateuzi wa hao maadministrators wa mahakama huwa wanapendekezwa na hiyo tume kwa hiyo haiingii akili kwa wao kujiaprove wenyewe-by chenge
anadai eti court administrator awe mwansheria, lakini watu wa Political Science and Public Administration (PSPA) hawanavigezo, lakini kiukweli wanasheria hawako deep kwenye mambo ya utawala kama watu wa PSPA kwahiyo hoja yake haina nguvu-by werema
Tundu think twice, unajua hpo bungeni kuna vyichwa si utani, mfano chenge (havard university product) ni kicha ile mbaya japokuwa ni jizi kubwa aka fisadi.
 
Kuna hoja tundu lisu ametoa kuwa suala la usimamizi wa mahakama lisimamiwe na bodi maalum na siyo kisiasa. Limeleta mvutano na kusababisha kupiga kura kwa kusema ndiyo au hapana. Imeonekana kama wamegongana na hivyo kuanza kutaja jina mojamoja ikiambatana na jibu la ndiyo au hapana.
Inasikitisha kwamba baadhi ya wabunge akiulizwa anajibu ndiyo kisha hapana. Kwa kweli utoto umezidi sana mjengoni. Yaani inaonyesha waziwazi makinda anafurahia wale wanaopingana na hoja ya tundu lisu. Hata mizengo alianza kwa kusema ndiyo, kisha akasema siyo na alipoulizwa mara ya tatu akasema ndiyo.
Kweli inauzi saaana.

mimi nilikuwa naangalia hilo bunge kisha nimeona wabunge wa ccm wasivyo na akili wanapinga hata mambo ya msingi!,imenikera sana nikaamua kubadili channel,nachojiuliza je wale wananchi waliowachagua wanaona upumbavu huu!?
 
pia kile anachokipendekeza lisu hakiwezekani kwa wateuzi wa hao maadministrators wa mahakama huwa wanapendekezwa na hiyo tume kwa hiyo haiingii akili kwa wao kujiaprove wenyewe-by chenge
anadai eti court administrator awe mwansheria, lakini watu wa Political Science and Public Administration (PSPA) hawanavigezo, lakini kiukweli wanasheria hawako deep kwenye mambo ya utawala kama watu wa PSPA kwahiyo hoja yake haina nguvu-by werema
Tundu think twice, unajua hpo bungeni kuna vyichwa si utani, mfano chenge (havard university product) ni kicha ile mbaya japokuwa ni jizi kubwa aka fisadi.
Chenge sio kichwa ni mchawi tu huyo ameshawahi kunyunyiza uchawi bungeni wewe unamuona kichwa, nitajie faida tuliyopata kutokana na chenge kuwa mwanasheria mkuu wa serikali kwa miaka kumi.
 
Hivi ni kweli kwamba waziri mkuu Mizengo Pinda alipopiga kura yake ya NDIO kuunga mkono hoja ya Lissu mara mbili Spika hakusikia mpaka mara ya tatu? "She is taking too much for the owner to notice", kama ni refa ainabeba timu mpaka timu inayobebwa inashtukia!
 
Hivi ni kweli kwamba waziri mkuu Mizengo Pinda alipopiga kura yake ya NDIO kuunga mkono hoja ya Lissu mara mbili Spika hakusikia mpaka mara ya tatu? "She is taking too much for the owner to notice", kama ni refa anaibeba timu mpaka timu inayobebwa inashtukia!
 
Back
Top Bottom