marejesho JF-Expert Member Jan 6, 2011 6,635 3,655 Jan 20, 2012 #1 Kipande cha sabuni shilingi 950 Kilo ya unga sh................. Kilo ya sukari ...................... Mfuko wa cement sh................
Kipande cha sabuni shilingi 950 Kilo ya unga sh................. Kilo ya sukari ...................... Mfuko wa cement sh................
marejesho JF-Expert Member Jan 6, 2011 6,635 3,655 Jan 20, 2012 Thread starter #2 AUDIO TRACK: HUSSEIN MACHOZI – JELA | DarTalk.com
B Bajabiri JF-Expert Member Jan 1, 2011 9,730 1,201 Jan 20, 2012 #3 Hahahah unga wa mahindi Kilo mia mia ziwe tisa!
E engmtolera JF-Expert Member Oct 21, 2010 5,150 1,437 Jan 20, 2012 #4 jela jela bora nirudi jera,kama mke wangu nae kamilikiwa na kigogo duu,bora nirudi jera,nimeshindwa bora nirudi
jela jela bora nirudi jera,kama mke wangu nae kamilikiwa na kigogo duu,bora nirudi jera,nimeshindwa bora nirudi
F Fraddle b JF-Expert Member Nov 20, 2011 222 18 Jan 20, 2012 #5 Husen machoz katoa idea nzuri sana bora nirudi jela
Raia Fulani JF-Expert Member Mar 12, 2009 10,877 2,758 Jan 21, 2012 #7 ule wimbo hauna ukweli wa kuaminisha. Jela bongo?
Ngambo Ngali JF-Expert Member Apr 17, 2009 3,517 1,360 Jan 21, 2012 #8 Vijana wanaingia kwenye wimbi la ukombozi bila Kujitambua. Wa kwanza ulikuwa Rizwani kamwambie baba, Lilikuwa dongo la kutosha kwa JK kuhusu uhalisia wa maisha ya mtanzania wa kawaida. Ukaja wimbo mwingine kichwa kinauma kusisitiza Hali Ngumu ya mtanzania Sasa wanataka kurudishwa jela Baada ya hapa nadhani wataimba Jamani si tuwe kama Boaziz. Moto wa ukombozi hakika wachukua sura mpya.
Vijana wanaingia kwenye wimbi la ukombozi bila Kujitambua. Wa kwanza ulikuwa Rizwani kamwambie baba, Lilikuwa dongo la kutosha kwa JK kuhusu uhalisia wa maisha ya mtanzania wa kawaida. Ukaja wimbo mwingine kichwa kinauma kusisitiza Hali Ngumu ya mtanzania Sasa wanataka kurudishwa jela Baada ya hapa nadhani wataimba Jamani si tuwe kama Boaziz. Moto wa ukombozi hakika wachukua sura mpya.
chapaa JF-Expert Member Feb 19, 2008 2,351 203 Jan 21, 2012 #9 Baba R1 asikilizishwe hii kitu ili kama vp waongeze magereza maana watu wamesha choka