kweli au sio kweli?

Ya kazi gani?

Mtu akiandika pumba ndio watu wanakua na shauku ya kujua kajiunga lini.
 
Sijawahi kuona mtu aliyeandika point analetewe profile lake kwenye thread. . .

hapo kwenye red mkuu umeweka maneno kinywani mwangu!!sikusema profile yake inaletwa kwenye thread..nimesema kama unachungulia juu kulia kuona kajiunga lini gonga 'like'
 
Bwana Misosi sasa naimba
Nitoke vipi
Siku nyingi najiuliza
Nitoke vipi
Ndan ya ya rap hii
Mpate kunielewa 2X
 
hapo kwenye red mkuu umeweka maneno kinywani mwangu!!sikusema profile yake inaletwa kwenye thread..nimesema kama unachungulia juu kulia kuona kajiunga lini gonga 'like'
Kuna niliposema wewe ndie uliyesema?
 
Back
Top Bottom