Kuna ukweli lakini.Ya kazi gani?
Mtu akiandika pumba ndio watu wanakua na shauku ya kujua kajiunga lini.
may be may be not
Sijawahi kuona mtu aliyeandika point analetewe profile lake kwenye thread. . .
Bwana Misosi sasa naimba
Nitoke vipi
Siku nyingi najiuliza
Nitoke vipi
Ndan ya ya rap hii
Mpate kunielewa 2X
Kuna niliposema wewe ndie uliyesema?hapo kwenye red mkuu umeweka maneno kinywani mwangu!!sikusema profile yake inaletwa kwenye thread..nimesema kama unachungulia juu kulia kuona kajiunga lini gonga 'like'
you are speakin for yourself right?
No , actually I'm answering your question.
No, actually you weren't.