Kokwa kavu
JF-Expert Member
- Jan 3, 2012
- 220
- 41
Sijakuelewa vyema hoja yako. Unalionaje kwamba halina hadhi au uwezo?
Msafara wa Kikwete unapopita hata na wakuu wa Vituo Vya Polisi (OCS), OCD, e.t.c wa eneo husika huwa wapo ndani ya kumi na nane ya msafara huo...!!!
Hao ndo jesh la polis hajielew
​Still in good running condition, inaweza kumfukuza dreva wa fuso iliyojaa mali ya magendo kutokea Zanzibar kupitia Bagamoyo.
he he he he sasa kwani kunatatizo gani askari kutumia hiyo gari kama wanaishi kwenye nyumba zinazofanana na vibanda vya choo??
Poa Tu....Hata Rais mwenyewe Hana SIFAGari la namna hilo linaweza kusababisha ajali katika msafara wa rais, kiukweli halina sifa.
Kwel huo mtaj ila serikal c wanajifanyaga wazee wa disposalHiyo gari kitega uchumi cha mtu, hapo inapata mgao wa mafuta full,dokezo la vipuri nk watu wanatia mfukoni!