Uongozi mbaya ndo unaiua CCM, mzee wao yeye kazi kuzurura tu nchi za nje na mawaziri aliowaweka si watendaji sasa anategemea nani atakayesimamia? kweli nimeamini ndo maana mikoa mingi ya Puani haina maendeleo kumbe tatizo ndo hilo. Yahani jamaa anaua chama na nchi pia anaiua. Haya msubiri kuokota mipira kwenye nyavy
filikunjombe AJE .....KOMBA KUFILIA MBALIIIIIIIII... KWANZA SIO REAL COMBATANT!Kesho utasikia na kuona bendi ya ccm ile ya Komba yahamia chadema, mara filikunjombe na mwisho lowasa na jk wahamia chadema! Pipoooooooooooooooz!...
mmh,kwaya tena?
Si ndo yale yale ya kuanza kuchezewa ngoma kabla ya hotuba
au kukagua maendeleo?
Waingie kama wana chama tu,kucheza ngoma na kuimba imba
kwaya za ajabu hakuna mda sasa,time is money.
Tunawakaribisha sana lakini wasitegemee ubwabwa na kanga kwetu. Sisi huku tunachangia Chama tuleta ukombozi, hatupo kwa ajili ya pesa. Natumaini wamekuja kwa moyo wa kukomboa nchi yetu
Tunawakaribisha sana lakini wasitegemee ubwabwa na kanga kwetu. Sisi huku tunachangia Chama tuleta ukombozi, hatupo kwa ajili ya pesa. Natumaini wamekuja kwa moyo wa kukomboa nchi yetu
...naunga mkono hoja...CHADEMA hatuna muda wa kuchekeshana,hapa ni kazi tu mpaka kieleweke...mmh,kwaya tena?
Si ndo yale yale ya kuanza kuchezewa ngoma kabla ya hotuba
au kukagua maendeleo?
Waingie kama wana chama tu,kucheza ngoma na kuimba imba
kwaya za ajabu hakuna mda sasa,time is money.