Kabakabana
JF-Expert Member
- Aug 5, 2011
- 5,551
- 1,159
Habari zenu wakuu,
Leo ni jumatano ya majivu kwa wenzetu wakristo na wakati mzuri wa kutafakari kufa kwa mwokozi Yesu kristo na ushindi wa kifo chake.
Nawatakia wote kwaresma njema yenye utulivu na amani.
Leo ni jumatano ya majivu kwa wenzetu wakristo na wakati mzuri wa kutafakari kufa kwa mwokozi Yesu kristo na ushindi wa kifo chake.
Nawatakia wote kwaresma njema yenye utulivu na amani.