Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ni kweli uyasemayo.ila wako wanawake wengine nao wana zaidi ya mwanamme mmoja.kuna special wa vocha,na kuna mtu mzima pedeshee.huyo special wa kulipia kodi ya nyumba.na kuna mwengine wa kujionyesha kwa watu.ila kwa kweli huo mtindo sio mzuri.kwa mwanamke au mwanaume.kama mwanaume umemchoka uliekuwa achia ngazi uwe na wako mmoja.na mwanamke jitume kwa bidii usiishi kwa kutegemea mabwana
My dear hilo swali ni ngumu sana
Mie na dhani ni urithi
toka enzi hizo za mababu zetu
tofauti ni kwamba enzi zile walikuwa
wako wazi na hakuna magonjwa
Na dhani wanajaribu magari kabla hawakununua..
tatizo ni kwamba yakoo za aina nyingi
na wanataka kujaribu za aina mbali mbali..
Wengine ni tamaa tu..
Sababu tayari wanayo
heheheheh afrodenzi....eti umewaitaje...magari???
Me ni mwanamke.
Habari zenu wanaJf.
Naomba mnisaidie,hivi kwanini asillimia kubwa ya wanaume kwenye mahusiano ya kimapenzi wanapenda kuwa na mwanamke zaidi ya mmoja?
Sema mpenzi zakupotea?
Nimewauliza na wakaniambia kuwa hakuna mwanaume anaeweza kukaa na mpnz mmoja.
Kwanini niwe na mwanamke mmoja?? Ukiona waliokaa na mmoja wanaogopa ukimwi. Hata hivyo, hatunao wengi ila huwa tunaonja tu hatusahau HOME hata siku moja. Hiyo mwaionaje????