wanajamvi nipeni majibu kwa nn wachaga,wapare na baadh ya makabila ya pande za kaskazini wanapenda sna kuishi maeneo ya kimara hadi mbez..
sasa kama kwenu moshi ukakae kivule au tua ngoma si balaa hilo... mjii huu usiokuwa na wenyewe lazima ukae usawa wa mlango wa kwenda mkoani kwenu kikilipuka tu..... mbiooooooooooo
sababu ingine kimara imekaa vizuri kwa kufugia Noah....
Kwasababu huko kunafugwa sana chairfire kwii kwii kwii!wanajamvi nipeni majibu kwa nn wachaga,wapare na baadh ya makabila ya pande za kaskazini wanapenda sna kuishi maeneo ya kimara hadi mbez..
Napatia lift hapahapa nami ya kuuliza kwanini warangi huishia Ngarenaro tu hapa Arusha?
Hahaha! Kwasababu ngarenaro ni kubwa kuliko Arusha! Wapo pia majengo juu lol, matejoo pia wamejazana sana!Napatia lift hapahapa nami ya kuuliza kwanini warangi huishia Ngarenaro tu hapa Arusha?