zitto anatamaa sana pamoja na lowasa sisi chadema tulishasema rais ni DR SLAA sasa sijui zito analeta wapi propaganda au katumwa nini na mafisadi kuharibu chadema
So, kelele kwa Zitto ni nini hasa? Ni kwa sababu ana tamaa au haaminiki Chadema? Lkn ana haki ya kugombea, ndugu!
kwa nini habari yoyote ya ndugu hawa kuhusu kugombea urais hupigiwa kelele sana? Je, hawafai au wanaogopwa na mahasimu wao wa kisiasa?
kwa nini habari yoyote ya ndugu hawa kuhusu kugombea urais hupigiwa kelele sana? Je, hawafai au wanaogopwa na mahasimu wao wa kisiasa?
zitto anatamaa sana pamoja na lowasa sisi chadema tulishasema rais ni DR SLAA sasa sijui zito analeta wapi propaganda au katumwa nini na mafisadi kuharibu chadema
Haya ndio majembe kabambe yaliyobaki TZ, na wana misimamo ndani ya vyama vyao hawataki upuuzi wa ajabuajabu na ndio maana ndani ya vyama vyao wanapigwa vita sana na kuchafuliwa ila tukimpata mmoja kti ya hawa tutaweza songa mbele ktk nchi yetu. Siangalii chama naangalia MtuKwa nini habari yoyote ya ndugu hawa kuhusu kugombea urais hupigiwa kelele sana? Je, hawafai au wanaogopwa na mahasimu wao wa kisiasa?
Kwa nini habari yoyote ya ndugu hawa kuhusu kugombea urais hupigiwa kelele sana? Je, hawafai au wanaogopwa na mahasimu wao wa kisiasa?
Hamna demokrasia nyie..mnatuogopesha namna hii...eti "tumeshasema rais ni dr Slaa"...hawezi pingwa ndani kwa ndani? nini maana ya demokrasia kwenye jina la CDM sasa?
Kwa nini habari yoyote ya ndugu hawa kuhusu kugombea urais hupigiwa kelele sana? Je, hawafai au wanaogopwa na mahasimu wao wa kisiasa?
Kwa nini habari yoyote ya ndugu hawa kuhusu kugombea urais hupigiwa kelele sana? Je, hawafai au wanaogopwa na mahasimu wao wa kisiasa?