Sababu kubwa sana inatokana na makosa ya serikali ya awamu ya kwanza kukubali ikulu na ofisi nyingi za serikali kukaa dare es salaam. Kama makao makuu ya serikali yangekuwa dodoma sidhani kama tungenga'nga'nia muungano! Sababu ya kwanza viongozi wetu wakuu wanaishi kando kando ya bahari, uwanja wa ndege uko dar es salaam unategemea nini kiusalama?. Lakini kama makao makuu ya serikali yangekuwa dodoma kungekuwa hakuna uoga wowote kwani dar es salaam ingekuwa kama mombasa ambao ni mkoa tu wa kenya huku Nairobi ikiwa makao makuu ya serikali.
Lakini kwa ujinga wetu tumeifanya Dar es salaam kuwa makao makuu ya nchi sehemu ambayo ni hatari ki usalama. Leo ikitokea tumevamiwa na maadui viongozi wetu wako hatarini sana kama wataamua kupitia baharini kwani wataiteka Dar kwa kasi ya ajabu sana. Lakini kama makao makuu yangekuwa dodoma mpaka adui atoke Dar es salaam mpaka afike dodoma ni ngumu sana,lakini serikali yetu haitaki kuhama, pengine tungekuwa hatuna uoga kunga'nga'nia muungano!
Naiomba serikali hii isiyo sikivu ianze mkakati wa haraka wakuhamia Dodoma kwanza tuanze na ikulu! Ijengwe haraka Dodoma na Raisi aanze wa kwanza kuhamia huko, Dar uwe mji tu wa biashara.
Mwisho muungano udumu ila tuanze kuhama. Tuko kwenye hatari kubwa sana hata ikitokea kuvunjika tuwe salama . Hivi kama Kenya wangekuwa makao makao makuu yako Mombasa
wangekuwaje na hao al shaabab? Si wangekuwa hatarini sana? Tujifunze kutokana na kosa.
Wenu
mlala hoi
Rimoy.
Nawasilisha.
Lakini kwa ujinga wetu tumeifanya Dar es salaam kuwa makao makuu ya nchi sehemu ambayo ni hatari ki usalama. Leo ikitokea tumevamiwa na maadui viongozi wetu wako hatarini sana kama wataamua kupitia baharini kwani wataiteka Dar kwa kasi ya ajabu sana. Lakini kama makao makuu yangekuwa dodoma mpaka adui atoke Dar es salaam mpaka afike dodoma ni ngumu sana,lakini serikali yetu haitaki kuhama, pengine tungekuwa hatuna uoga kunga'nga'nia muungano!
Naiomba serikali hii isiyo sikivu ianze mkakati wa haraka wakuhamia Dodoma kwanza tuanze na ikulu! Ijengwe haraka Dodoma na Raisi aanze wa kwanza kuhamia huko, Dar uwe mji tu wa biashara.
Mwisho muungano udumu ila tuanze kuhama. Tuko kwenye hatari kubwa sana hata ikitokea kuvunjika tuwe salama . Hivi kama Kenya wangekuwa makao makao makuu yako Mombasa
wangekuwaje na hao al shaabab? Si wangekuwa hatarini sana? Tujifunze kutokana na kosa.
Wenu
mlala hoi
Rimoy.
Nawasilisha.