Mara nyingi baada ya kazi kuna sehemu napenda kubarizi kwa moja baridi, hiyo sehemu kuna mzee sio sana, vijana wanapenda ku mchezea kwa kujambisha (kubana midomo kwa mikono kisha kupuliza nakutoa mlio kama mtu kajamba), basi huyo mzee huweweseka kweli na kuwa mkali kweli, na kila anapofanyiwa hivyo huinama na kushika sehemu zake nyeti.
Je, huu ni ugonjwa au ni nini?
Je, huu ni ugonjwa au ni nini?