Kwanini wengine hushika nyeti zao ujambishapo?

Paul S.S

JF-Expert Member
Aug 27, 2009
6,402
3,242
Mara nyingi baada ya kazi kuna sehemu napenda kubarizi kwa moja baridi, hiyo sehemu kuna mzee sio sana, vijana wanapenda ku mchezea kwa kujambisha (kubana midomo kwa mikono kisha kupuliza nakutoa mlio kama mtu kajamba), basi huyo mzee huweweseka kweli na kuwa mkali kweli, na kila anapofanyiwa hivyo huinama na kushika sehemu zake nyeti.

Je, huu ni ugonjwa au ni nini?
 
wazee wa mabusha siju!? hiyo hata huko niliko iko sana yani!
inawezekana wenye mabusha wakifanyiwa hivyo huweweseka, maana hata huyu ninaye muongelea anaonekana analo, laikini inakuwaje kitaalamu zaidi?
 
huo ni ujinga tu na hasa uko maeneo ya pwani ya Dar, Zenji, BYO, Tanga, Mombasa na Lamu, sina uhakika sana na pwani ya kusini ya Tanzania,
kwa tuliokulia hayo maeneo hao jamaa waitwa MABASHA, yaani kazi yao ni kuwala Tigo wanaume wenzao (Mabwabwa, mashoga, Mafaruku na watu kama hao),
sasa hapa kinachosemekana ni kuwa wakati anakula TIGO huyo anayel;iwa huwa anajamba sana, kwa hiyo huyo mlaji "Basha" anakuwa amezoea hiyo milio ya mijamb* na ndio sasa wakimjambisha mtaani hisia zake zinarudi kama anakula Tigo vile na anakimbilia kushika nyeti zake,
sina experience na hayo mambo lakini ni hear say tu labda kama kuna wanaofahamu zaidi
 
huo ni ujinga tu na hasa uko maeneo ya pwani ya Dar, Zenji, BYO, Tanga, Mombasa na Lamu, sina uhakika sana na pwani ya kusini ya Tanzania,
kwa tuliokulia hayo maeneo hao jamaa waitwa MABASHA, yaani kazi yao ni kuwala Tigo wanaume wenzao (Mabwabwa, mashoga, Mafaruku na watu kama hao),
sasa hapa kinachosemekana ni kuwa wakati anakula TIGO huyo anayel;iwa huwa anajamba sana, kwa hiyo huyo mlaji "Basha" anakuwa amezoea hiyo milio ya mijamb* na ndio sasa wakimjambisha mtaani hisia zake zinarudi kama anakula Tigo vile na anakimbilia kushika nyeti zake,
sina experience na hayo mambo lakini ni hear say tu labda kama kuna wanaofahamu zaidi
Mmmh hii kali, kweli tembea uone
 
huo ni ujinga tu na hasa uko maeneo ya pwani ya Dar, Zenji, BYO, Tanga, Mombasa na Lamu, sina uhakika sana na pwani ya kusini ya Tanzania,
kwa tuliokulia hayo maeneo hao jamaa waitwa MABASHA, yaani kazi yao ni kuwala Tigo wanaume wenzao (Mabwabwa, mashoga, Mafaruku na watu kama hao),
sasa hapa kinachosemekana ni kuwa wakati anakula TIGO huyo anayel;iwa huwa anajamba sana, kwa hiyo huyo mlaji "Basha" anakuwa amezoea hiyo milio ya mijamb* na ndio sasa wakimjambisha mtaani hisia zake zinarudi kama anakula Tigo vile na anakimbilia kushika nyeti zake,
sina experience na hayo mambo lakini ni hear say tu labda kama kuna wanaofahamu zaidi

Mwinyiiiiiiiiiiii....Unataka kukimbia kivuli chako...subiri usiku dah....kusoma kwingi kujua mengi...this is fantastick maelezo..dah....inabidi niifanyie thesis hii.
 
Mwinyiiiiiiiiiiii....Unataka kukimbia kivuli chako...subiri usiku dah....kusoma kwingi kujua mengi...this is fantastick maelezo..dah....inabidi niifanyie thesis hii.

thesis ya nini Mwinyiiii, hiyo ndio habari pwani kuna mengi mkuu,
hivi Boflo yupo wapi siku hizi angeweza kutupa mengi yule kijana wa Ilala
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom