hahhahaaa wewe nakwambia hujatafuta mtoto wa kichaga ukamuona yani machame yenyewe si paja si mguuu si sura, weewew embu tutafute utuone bwana sio maneno yako ya wanene wanene tu ni shape za ukweli na uhakikia kijana:smile::smile:Hivi kweli tuseme kutoka moyoni, hivi ng'ombe mwenye nundu na asiye na nundu yupi utamkimbilia @ we kibhopile, halafu we wakuchakachua acha ukali bwana we ndizi mshale huzijui bwana, huwajui wale wenye miguu kama miti ya genge, kibweka we ndio mtu , mimi ni mzee wa mapaja ctaki vipapatio, ashishshshshsh, acha kabisa
Hapa mwamba ngozi au vipi? asilimia ndogo sana wanaweza kujisukuma kidogo hapo uwanjani. Hata na nyiemmh jaman wepes wa mtu haujali unene au wembamba wa mtu
Wazungu wenyewe wasema " Go for QUALITY not QUANTITY"!!, na fikra za weusi, kawaida twapenda Quantity hata kama si nzuri.
nimekuwa nikijiuliza bila kupata jibu.kwanini wazungu wanapenda mabinti wembamba na sisi weusi twapenda mashepu?
Lakini hivyo vibinti vyembamba vinavyotoka na wazungu vinakuja tena kwetu kukandamizwa ki sukuma huku ikisingizia kuwa wazungu ni wa baridi.
Binafsi mzungu sioi. Wanawake wa kizungu wanapenda kuwa under control wakiwa uwanjani. Yaani wao wako juu
sasa kama umechua bigwa wa judo uwe na nguvu za kulibeba. Chocolate skin mali bwana na mbambataa kahaja
Nimekuwa nikijiuliza bila kupata jibu.Kwanini Wazungu wanapenda mabinti wembamba na sisi weusi twapenda mashepu?
Lakini hivyo vibinti vyembamba vinavyotoka na wazungu vinakuja tena kwetu kukandamizwa ki SUKUMA huku ikisingizia kuwa wazungu ni wa baridi.