Kwanini Wazanzibar watuite Machogo(Chogo), ni Haki kweli?

hahahaha ila jamaa wale acha kwa ubaguzi,mimi asili yangu ni mtu wa bara yaani tanganyika ila babu yangu alihamia kule na baba yangu amesoma unguja then akahamia dar akaoa dar na sisi sote tumesoma dar ila jamaa zetu na wengi wapo zanzibar..ila huwezi amini hata kama tunashughuli lazima watasema pale kwa wabara na nlishawahi kuitwa chogo live wakati nimefaulu form four yangu.
hahaha... sasa sisi wabara tulivyokuwa tunawaita Mdebwedo ... Yote haya alisababisha JOTI na Kichogo chake... hehehehe!
 
Vichwa vyao kama pasi. Wakiwa wadogo mama zao wanawalaza kwenye vimito vidogo vyenye mchanga ndo mabichwa yanakuwa bapa. Pua wanakandwa na mafuta ya nazi vinakuwa kama ncha ya bamia. Makomwe na machogo tuna akili sana.
 
hawana lolote,wabuguzi sana hawa jamaa.Halafu kila mbara aliye kwao wanamuita Mnyamwezi,hawajui kabila jingine zaidi ya Wanyamwezi
 
HAHAA hahaa !
usi unawaonaga vchwa vyao kwa nyuma ..vmekaa bati bati na kuchongokea juu yaan km ncha ya mlima vile...:dance:
afu walalamish usipime..wanadeeeka,wamelegeeeeeeeeeea...afu weng wao wananuka vkwapa,midomo....kuoga mtihani nadhani...


weye mwanamke au mwanamme. mbona una matusi kama ............
 
tulikuwa tunamaanisha nyie wabara ni MACHOKO ati, yule yahe hakusikia vizuri
 
Yan wao ni wa kujifananisha na sis? Mbona hawana lolote zaid ya kumind michezo ya kishetani? Tutawachapa then tuone ni nan chogo zaid,pambaf!

Mmezoea kupigana vijijin huko tahadhari uko mjini hapa, hayo mapanga na sime wacha huko huko porini.
 
Back
Top Bottom