Akili Kichwani
JF-Expert Member
- Jan 7, 2010
- 1,508
- 216
they are just leading............ others will follow soon................, just wait..........
nchi yoyote duniani huwa inahijidi mabadiliko.hata marekani walimwondoa bush kwa kumchagua obama.tanzania ina rasilimali zote za kuwa nchi tayari.shida ni ulafi , kukosa viongozi,ufisadi, na wizi, ubinafsi.wananchi wamechoka na umaskini.viongozi kazi yao ni kuuza mali zetu na kujinufisha wenyewe.