BLUE BALAA
JF-Expert Member
- Nov 30, 2010
- 1,222
- 764
Naombeni jibu tafadhali. Unakuta ndugu/rafiki anaumwa hakuna mtu anaeonekana kusaidia ILA subiri kama mgonjwa akifariki yani hapo watu wanataka kuonyesha uwezo wao.
Watanzania ni watu wa ajabu sana.