Kwanini watoto wengi waliozaliwa nje ya ndoa huwa na akili nyingi sana darasani?

Tafiti zinaonesha kuwa asilimia 60% ya watoto wanaozaliwa nje ya ndoa huwa na uwezo mkubwa sana wa akili kuliko wa ndani ya ndoa.
Sababu ni nini hasa?
SOURSE
Chunguza top ten ya uliosoma nao


A Hapi, fanya utafiti zaidi, kwa kukusaidia ni kwamba huwa watukutu sana
 
Huo utafiti ulifanyika mwaka gani, akili nyingi darasani ni kitu gani, tafsiri ya ndoa iliyotumika ni ipi, idadi ya wahojiwa kwa kila upande ilikuwaje, Utafiti wako umeongozwa na hisia zaidi na labda unahusika,
 
Tutofautishe kati ya kuwa na akili nyingi na kuwa na juhudi katika masomo. Kuwa na akili nyingi ni genetic fact. Juhudi ni matokeo ya mazingira ya mtoto anayokutana nayo na kumfanya asome zaidi. Kufaulu tu si kipimo cha akili nyingi. Na kufeli si kipimo cha akili kidogo.
 
hii imewahi kuelezwa sana na mchungaji mwakasege....
inaitwa 'theory ya mzaliwa wa kwanza'
nimewahi kuanzisha thread hapa zamani....

mkuu imekaa kiimani zaidi hii na kuna mtu alienda mbali akaliongelea hili kwamba linatokea zaidi ktk familia za kikristo......na hapo ndo nikabaki hoi kabisa, mweeeh!
 
Tutofautishe kati ya kuwa na akili nyingi na kuwa na juhudi katika masomo. Kuwa na akili nyingi ni genetic fact. Juhudi ni matokeo ya mazingira ya mtoto anayokutana nayo na kumfanya asome zaidi. Kufaulu tu si kipimo cha akili nyingi. Na kufeli si kipimo cha akili kidogo.

juhudi kama maarifa hauna ni kazi bure maana kwa kiasi kikubwa vyote hiyo huenda pamoja na pindi kimoja kinapokosekana ni ngumu sana kufanikiwa ktk masomo
 
Well, inategemea na malezi ya mzazi (kuna wa nje ya ndoa ambao wanalelewa na baba alone pia). Lakini nurturing ya mzazi inasaidia, japo aisee genetic factor imahusika! Manake kuna mwenza unakuta ni kiazi cherema, so mtoto inabidi uvute na winch, mweh!


hahahahahahah nimeipenda hiyo
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom