Kwanini watoto wa matajiri wanapenda mwanaume maskini?

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Feb 3, 2009
42,299
33,082
KWANIN WATOTO WA MATAJIRI WANAPENDA MWANAUME MASKINI.jpg
 
Hiyo ilikuwa Zamani.siku hizi mtakutana wapi?
Anasoma Feza girls wewe unasoma Kigogo fresh secondary
Anaishi Seaview wewe unaishi Majohe kibeberu
Shopping anafanyia Mlimani city wewe Soko Mjinga banana
Likizo unaenda Machwechwe Sumbawanga kwa babu yeye anaenda Philadelphia kwa Uncle.
Ukisafiri safari inaanzia ubungo bus terminal YEYE inaanzia Mwl nyerere AIRPORT
Kanisani St Joseph wewe kanisa la ufufuo ukonga
Club wewe unaenda Dar live yeye new Africa.
Mapumziko Weekend wewe Mikadi au Coco yeye Ramada au Beach comber
Zamani iliwezekana kwa kuwa tuli share vingi
 
Hiyo ilikuwa Zamani.siku hizi mtakutana wapi?
Anasoma Feza girls wewe unasoma Kigogo fresh secondary
Anaishi Seaview wewe unaishi Majohe kibeberu
Shopping anafanyia Mlimani city wewe Soko Mjinga banana
Likizo unaenda Machwechwe Sumbawanga kwa babu yeye anaenda Philadelphia kwa Uncle.
Ukisafiri safari inaanzia ubungo bus terminal YEYE inaanzia Mwl nyerere AIRPORT
Kanisani St Joseph wewe kanisa la ufufuo ukonga
Club wewe unaenda Dar live hata New Africa.
Mapumziko Weekend wewe Mikadi au Coco hata Ramada au Beach comber
Zamani iliwezekana kwa kuwa tuli share vingi
ambaye hatakuelewa atakuwa na kichwa cha panzi.
 
Hiyo ilikuwa Zamani.siku hizi mtakutana wapi?
Anasoma Feza girls wewe unasoma Kigogo fresh secondary
Anaishi Seaview wewe unaishi Majohe kibeberu
Shopping anafanyia Mlimani city wewe Soko Mjinga banana
Likizo unaenda Machwechwe Sumbawanga kwa babu yeye anaenda Philadelphia kwa Uncle.
Ukisafiri safari inaanzia ubungo bus terminal YEYE inaanzia Mwl nyerere AIRPORT
Kanisani St Joseph wewe kanisa la ufufuo ukonga
Club wewe unaenda Dar live yeye new Africa.
Mapumziko Weekend wewe Mikadi au Coco yeye Ramada au Beach comber
Zamani iliwezekana kwa kuwa tuli share vingi
natoa LIKE ya kwanza tangu mwaka huu uanze.
 
Hiyo ilikuwa Zamani.siku hizi mtakutana wapi?
Anasoma Feza girls wewe unasoma Kigogo fresh secondary
Anaishi Seaview wewe unaishi Majohe kibeberu
Shopping anafanyia Mlimani city wewe Soko Mjinga banana
Likizo unaenda Machwechwe Sumbawanga kwa babu yeye anaenda Philadelphia kwa Uncle.
Ukisafiri safari inaanzia ubungo bus terminal YEYE inaanzia Mwl nyerere AIRPORT
Kanisani St Joseph wewe kanisa la ufufuo ukonga
Club wewe unaenda Dar live yeye new Africa.
Mapumziko Weekend wewe Mikadi au Coco yeye Ramada au Beach comber
Zamani iliwezekana kwa kuwa tuli share vingi
duh umeandika kwa hisia!
 
Hiyo ilikuwa Zamani.siku hizi mtakutana wapi?
Anasoma Feza girls wewe unasoma Kigogo fresh secondary
Anaishi Seaview wewe unaishi Majohe kibeberu
Shopping anafanyia Mlimani city wewe Soko Mjinga banana
Likizo unaenda Machwechwe Sumbawanga kwa babu yeye anaenda Philadelphia kwa Uncle.
Ukisafiri safari inaanzia ubungo bus terminal YEYE inaanzia Mwl nyerere AIRPORT
Kanisani St Joseph wewe kanisa la ufufuo ukonga
Club wewe unaenda Dar live yeye new Africa.
Mapumziko Weekend wewe Mikadi au Coco yeye Ramada au Beach comber
Zamani iliwezekana kwa kuwa tuli share vingi
Ubaguzi sio wa rangi siasa kabila na dini tu hata huu wanaotufanyia matajiri naona ni ubaguzi mambo leo.
 
Hiyo ilikuwa Zamani.siku hizi mtakutana wapi?
Anasoma Feza girls wewe unasoma Kigogo fresh secondary
Anaishi Seaview wewe unaishi Majohe kibeberu
Shopping anafanyia Mlimani city wewe Soko Mjinga banana
Likizo unaenda Machwechwe Sumbawanga kwa babu yeye anaenda Philadelphia kwa Uncle.
Ukisafiri safari inaanzia ubungo bus terminal YEYE inaanzia Mwl nyerere AIRPORT
Kanisani St Joseph wewe kanisa la ufufuo ukonga
Club wewe unaenda Dar live yeye new Africa.
Mapumziko Weekend wewe Mikadi au Coco yeye Ramada au Beach comber
Zamani iliwezekana kwa kuwa tuli share vingi
Aisee nimecheka sana ,Majohe kibeberu ni kitongoji ndani ya Mpiji Majohe ??? Mbona kina Manji wapo Mbagala bana ,

Na sie tunaoishi Pemba mnazi si itabidi tutembee na Fuko sasa
 
Hiyo ilikuwa Zamani.siku hizi mtakutana wapi?
Anasoma Feza girls wewe unasoma Kigogo fresh secondary
Anaishi Seaview wewe unaishi Majohe kibeberu
Shopping anafanyia Mlimani city wewe Soko Mjinga banana
Likizo unaenda Machwechwe Sumbawanga kwa babu yeye anaenda Philadelphia kwa Uncle.
Ukisafiri safari inaanzia ubungo bus terminal YEYE inaanzia Mwl nyerere AIRPORT
Kanisani St Joseph wewe kanisa la ufufuo ukonga
Club wewe unaenda Dar live yeye new Africa.
Mapumziko Weekend wewe Mikadi au Coco yeye Ramada au Beach comber
Zamani iliwezekana kwa kuwa tuli share vingi
wasipoelewa basi tena aisee
 
Hiyo ilikuwa Zamani.siku hizi mtakutana wapi?
Anasoma Feza girls wewe unasoma Kigogo fresh secondary
Anaishi Seaview wewe unaishi Majohe kibeberu
Shopping anafanyia Mlimani city wewe Soko Mjinga banana
Likizo unaenda Machwechwe Sumbawanga kwa babu yeye anaenda Philadelphia kwa Uncle.
Ukisafiri safari inaanzia ubungo bus terminal YEYE inaanzia Mwl nyerere AIRPORT
Kanisani St Joseph wewe kanisa la ufufuo ukonga
Club wewe unaenda Dar live yeye new Africa.
Mapumziko Weekend wewe Mikadi au Coco yeye Ramada au Beach comber
Zamani iliwezekana kwa kuwa tuli share vingi
Umemalizq mkuu
 
Hiyo ilikuwa Zamani.siku hizi mtakutana wapi?
Anasoma Feza girls wewe unasoma Kigogo fresh secondary
Anaishi Seaview wewe unaishi Majohe kibeberu
Shopping anafanyia Mlimani city wewe Soko Mjinga banana
Likizo unaenda Machwechwe Sumbawanga kwa babu yeye anaenda Philadelphia kwa Uncle.
Ukisafiri safari inaanzia ubungo bus terminal YEYE inaanzia Mwl nyerere AIRPORT
Kanisani St Joseph wewe kanisa la ufufuo ukonga
Club wewe unaenda Dar live yeye new Africa.
Mapumziko Weekend wewe Mikadi au Coco yeye Ramada au Beach comber
Zamani iliwezekana kwa kuwa tuli share vingi


Hahaha...mkuu hii coment mbona kama yangu?
 
Siku hizi inakuwa ngumu sana... labda akuone kwenye TV, kwenye kipindi cha matukio ya wiki...
 
Hiyo ilikuwa Zamani.siku hizi mtakutana wapi?
Anasoma Feza girls wewe unasoma Kigogo fresh secondary
Anaishi Seaview wewe unaishi Majohe kibeberu
Shopping anafanyia Mlimani city wewe Soko Mjinga banana
Likizo unaenda Machwechwe Sumbawanga kwa babu yeye anaenda Philadelphia kwa Uncle.
Ukisafiri safari inaanzia ubungo bus terminal YEYE inaanzia Mwl nyerere AIRPORT
Kanisani St Joseph wewe kanisa la ufufuo ukonga
Club wewe unaenda Dar live yeye new Africa.
Mapumziko Weekend wewe Mikadi au Coco yeye Ramada au Beach comber
Zamani iliwezekana kwa kuwa tuli share vingi
Bhaaaaaaasi umemaliza yote
 
Back
Top Bottom