Ndugu zangu wana jamii forums napenda kuuliza hii swali kwenu wote bila kujali itikadi zetu za kisiasa, kwanini watanzania hatuna uchungu na nchi yetu? nimeuliza hivyo kwasababu hali ya nchi yetu kwa sasa ni tete, ukianzia na umeme ni rezo watu wanapoteza kazi hakuna uzalishaji, maduka yanafungwa vyakula kama vile nyama, samaki nk vinaharibika, watu wanapata hasara sana, vibaka ndiyo kwanza wanazidi kusumbua wananchi, imefika kipindi achacho everyone of us should stand up and fight for our country, tatizo la nchi ni viongozi wa nchi ambao ni wabovu na wananchi wengi tunawashabikia