Tatizo kubwa Vijana wengi wanataka vitu vikubwa na hawana pesa!!Mama waumezao wapo busy na shughuli za biashara nakama sibiashara siasa nwao wanataka wadogodogo wakuwapetpet maana watoto wakikike wengi wazuri kama uonavyo mwezi!!!Shida huishia nyumbani baba akirudi kaisha malizwa analala kesho mama naye panawasha!!wakumaliza haja yake ninani??Kijana anatafutwa kesho anamuhadithia shoga yake naye anatafuta wakienda out na serengeti boys wao na serengeti wanaitana wanakaa mkao mmoja!!kesho mama nao wanamwita shoga yake njoo nimekupatia kijana wakukutoa*******Njoo kesho mahali fulani basi inakuwa biashara ukweli ni KWAMBA INASABABISHWA NA UGUMU WA MAISHA NA U BUSY WA MAISHA !!!:juggle:
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.