:doh:tatizo ni diet tu na aina ya kazi,wanawake wengi siku hizi hufanya kazi maofisini na hivyo hawatumii energy nyingi katika kazi wanazifanya,wakati huo huo wakila vyakula vyenye mafuta mengi ,wanga au sukari n.k asilimia kubwa ya vyakula hivyo huhifadhiwa katika mwili,hasa katka tumbo na ile,sehemu ya makalio. ...ufumbuzi ni kupunguza kula aina hizo za chakula na kufanya mazoezi au shughuli nyingi za mikono au hata kutembea umbali wa kutosha kwa miguu kila siku