lukelo sakafu
JF-Expert Member
- Feb 19, 2015
- 2,939
- 517
Kuna ishu moja hapa kuhusu dada zetu uwa inanichanganya sana, wanawake na wasichana wanapenda sana kudanganywa danganywa kuliko ukimwambia ukweli na kama ukimwambia ukweli lazima atanuna wiki nzima.
Mfano uwe na msichana as girl friend then umwambie " leo hujapendeza kabisa yaani hizo nguo na viatu umechanganya mambo" walah kwa kauli hiyo atakuchukia mpaka basi, lakini ukimwambia "duh leo umependeza sana " mbona atakurukia kwa furaha, hata kama hajapendeza.
Pia mfano uwe na mwanamke mwenye sura mbaya mbaya kama mtu fulani humu JF then umwambie ukweli kuwa " dear una sura mbaya sana" sio siri atakuchukia kama sio kukupiga chini kabisa yeye anachotaka umwambie "honey your so cute" atakupenda hatari.
Wakuu kama kuna uelewa zaidi hapa atujuze
Mfano uwe na msichana as girl friend then umwambie " leo hujapendeza kabisa yaani hizo nguo na viatu umechanganya mambo" walah kwa kauli hiyo atakuchukia mpaka basi, lakini ukimwambia "duh leo umependeza sana " mbona atakurukia kwa furaha, hata kama hajapendeza.
Pia mfano uwe na mwanamke mwenye sura mbaya mbaya kama mtu fulani humu JF then umwambie ukweli kuwa " dear una sura mbaya sana" sio siri atakuchukia kama sio kukupiga chini kabisa yeye anachotaka umwambie "honey your so cute" atakupenda hatari.
Wakuu kama kuna uelewa zaidi hapa atujuze