Imekuwa ni kawaida wanaume kuwapa wanawake fedha aidha kwa kuwa ni marafiki au wachumba au wanandoa.Mwanamke katika ndoa hupenda kutumia fedha zake kwa mambo binafsi na mambo kama hayo.Je kama wanawake hawatabadilika si ni ngumu katika harakati za mapinduzi ya mambo ya jinsia?