BARA BARA YA 5
JF-Expert Member
- Sep 11, 2009
- 1,126
- 732
mi dini yangu hairuhusu,hata hivyo najihashimu bila pete ya ndoa
Nimechunguza, nimetafiti na nimegundua na kuvumbua kuwa wanaume wengi hawapendi kuvaa pete zao za ndoa kwa visingizio mbalimbali, na kuna kundi lingine ndio huwa linatoka nyumbani wakiwa na pete zao za ndoa na wakifika mitaani huzivua na kuzitupia mifukoni.
Cha ajabu ni kwamba, dada zetu wao wanapenda sana kuvaa pete za ndoa, hata ambao hawajaingia kwenye hiyo taasisi takatifu hujivisha wenyewe pete zao za ndoa na kudundika mitaani.
Nauliza tena wenzangu, kwa nini wanaume wengi walio oa hawapendi kuvaa pete zao za ndoa?