Kwanini wanaume wengi waliooa hawapendi kuvaa pete ya ndoa?

Mi ni injinia, kutokana na taaluma yangu siruhusiwi kuvaa vitu vya metali kam pete, cheni nk. pia sivai tai. Navaa boots, tshirt na over coat. Ndo maana sivai pete.
 
Hao hawako kwenye ndoa wenye ndoa zetu na pete zetu mnaovaa kama mapambo endeleeni tu maana hamjui maana ya pete ya ndoa.
 
Sababu kubwa ni kwa ajili ya mawindo wakiwa hawana pete ni rahisi kupata dem tofauti na akiwa amevaa.
 
Sijawahi kuvaa pete, cheni, heleni, vikuku na mambo yanayofanana na hayo tangu nimezaliwa na sina mpango wa kiuvaa mpaka nitakapoondoka kwenye hii dunia. Mke wangu anajua msimamo wangu katika jambo hili na kimsingi hana matatizo kwani anajua pete haiwezi kunibadilisha tabia wala misimamo yangu kwenye mambo mbalimbali.
 
Mi ni injinia, kutokana na taaluma yangu siruhusiwi kuvaa vitu vya metali kam pete, cheni nk. pia sivai tai. Navaa boots, tshirt na over coat. Ndo maana sivai pete.

Samahani kama nitaku-quote viabaya nina mifano hai hapa. Kuna kaka wa rafiki yangu ni injinia na anavaa oete yake 24/7 na mwingine anavaaga cheni na pete pia. tena ni mainjinia wanaofanya kazi halmashauri kuu cjui wewe ni injinia wa kitengo gani may be kuna vitengo ambavyo huwa hawaruhusiwi na co wote!
 
Wapi kwenye vitabu vya dini vimesema tuvae pete za ndoa.

Na nani aliye sema tuvae pete za ndoa nani? hebu nipeni faida ya kuvaa pete za ndoa.
 
Na wanao vaa pete si ma @ss hole tu.

Wapi kwenye vitabu vya dini vimesema tuvae pete za ndoa.

Na nani aliye sema tuvae pete za ndoa nani? hebu nipeni faida ya kuvaa pete za ndoa.

Its just a symbol of marriage (commitment to a certain person)! Ni utamaduni uliojengeka.. Sio mpaka iandikwe kwenye vitabu vya dini.
 
Its just a symbol of marriage (commitment to a certain person)! Ni utamaduni uliojengeka.. Sio mpaka iandikwe kwenye vitabu vya dini.
Utamaduni wa wapi huo wa kizungu au waki arabu/ afrika?

Mbona baba/babu zetu walikuwa hawavai pete, nawalijulikana kama wameoa, kwani ukivaa pete ndo lazima uwe umeoa!
 
  • Thanks
Reactions: ram
Wanataka bado waonekane bachelors...wakamate warembo!
Mimi siku zote nasema nimeoa na sioni aibu kusema nimeoa, naona sifa kabisa...na warembo wananikubali tu nikiwataka :biggrin:
 
Mie nijibu kwa upande wa wanawake. Ukiwa na pete ya ndoa unajipandisha grade, kitu ambacho wanaume waliooa hawajastukia manake wao interest yao ni kitoto vya chuo.
Afu wewe umeibukia wapi? Habari za jela?
najua unanisema mimi, lakini umesahau kwamba vidole vyangu vina aleji na pete, nikivaa vinawasha na kuvimba, hata ukimuuliza mama yako atakwambia ukweli huo.
 
Pete za siku hizi uzushi tu, hazina maana yoyote imekuwa ni kama fasheni tu
Kwanza hata huu ustarabu wa kuvaa pete sijui nani aliuanzisha, to me pete haina maana yoyote zaidi ya ule upendo nilionao kwa my
 
Mimi pia huwa najiuliza hii mambo ya kuvishana pete ilitoka wapi?
Na umuhimu wake kwenye ndoa ni nini
Mashabiki wa pete naomba mnipe tution aise, nini umuhimu wa pete ktk ndoa?

Utamaduni wa wapi huo wa kizungu au waki arabu/ afrika?

Mbona baba/babu zetu walikuwa hawavai pete, nawalijulikana kama wameoa, kwani ukivaa pete ndo lazima uwe umeoa!

Mimi nawaona ma @ss hole tu...kwanza kuna mwanaume wengine wanavae pete ya dhahabu hapo ndo nacheka sana!
 
Sababu zako zinaweza kuwa kweli ila kuna wengine wana matatizo wakivaa pete pia wanavimba vidole
Ila napenda sana kuvaa pete yangu ya ndoa
 
Mimi siku zote nasema nimeoa na sioni aibu kusema nimeoa, naona sifa kabisa...na warembo wananikubali tu nikiwataka :biggrin:

Haya bana we mkaree!! ila hao wanaokukubali while wanajua umeoa.. wanakutumia vizuri halafu ukishafulia wanarudi kwa wanaume zao wa ukweli simply cause wanajua hawana future yoyote na wewe..
 
Wana JF, tusiende mbali. Kwanza tujiulize jee pete inaashiria nini? Je kwanini cheti cha ndoa kisingekua kidogo kama leseni ya kuendeshea gari ili kila mwenyendoa abebe wakati wote?
 
Huku ni kukosa uaminifu kwa mke wako na kwa kweli hii hali sikubaliani nayo. Waliooa hebu rejea kwenye agano la ndoa ili upate maana ya ile pete, maana siku hizi mnajifanya "eti ni formality tu" kuishusha hadhi lakini kwa kweli pete inabeba hadhi ya juu sana, hivyo kuishusha hadhi ni kumwambia mungu kiapo kile hakifai na uliapa tu kwa uongo na pia nikumkosea adabu, heshima mkeo/mumeo na in short ni ishara ya usaliti.
 
Haya bana we mkaree!! ila hao wanaokukubali while wanajua umeoa.. wanakutumia vizuri halafu ukishafulia wanarudi kwa wanaume zao wa ukweli simply cause wanajua hawana future yoyote na wewe..
Wewe matatizo yako unafikiria sex sana, kupenda na sex ni vitu tofouti kabisa :biggrin:
 
Nadhani Pete si utamaduni wa mwafrika na kwa hiyo wanandoa wenye hobby watavaa kila waendapo wengine wengi hawajali sana and I don't see any relatioship kati ya ndoa na pete, Ikiwa ni hoja ya mawindo na mtu kutokuwa mwaminifu niliwahi kudokezwa na mtu mmoja kuwa warembo wengi wa siku hizi wanapenda wanaume waliooa wakiona pete tu baasi wanakutaka manake hutawabana katika miruko yaop mingine.
 
Wewe matatizo yako unafikiria sex sana, kupenda na sex ni vitu tofouti kabisa :biggrin:

kilichoashiria kwamba nimeongelea sex hapo ni nini?!
Tatizo ni kwamba SEX IS THE "ONLY" THING THAT RUNS THROUGH YOUR MIND! Ndio maana ume misinterpret nilichomaanisha hapo juu.
 
Back
Top Bottom