kweli jamani, jana kuna kavulana tulikuwa tukiishi nako zamani, kakaja ofisini kuniletea kadi ya mchango wake wa harusi, yaani kidogo nimsahau kwa jinzi alivyo nenepa
nimeoa kitambo sana, nina watoto wanne, lakini sina kitambi. nikiona kinataka kutokeza tu huwa nafanya kampeni ya kukifuta kabisa. tumbo langu ni flat na mwili wa mazoezi kidogo, naomba Mungu kikombe cha kitambi kiniepuka kabisa kwa Jina la Yesu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.