Kwanini wanaume wengi siku hizi hawapendi kuoa…………?

Wanaume wengi hawaoi kwasababu:-

1) Wanachoshwa na matukio yanayowatokea wengine kwenye ndoa zao hasa USALITI& KUCHAPIWA NA KERO.

2) Wanawake wengi wamekuwa Wababe sana na kutaka haki sawa kila kukicha.

3) Wanawake wengi wanapenda maisha ya gharama sana na Mwanaume mwenye pesa nyingi sana. Ukiwa na pesa ya kawaida tu atakuacha siku moja amfuate mwenye fweza sana.

4) Urahisi wa Upatikanaji wa Papuchi sikuhizi. "Kama napata maziwa yanini kufuga ng'ombe"

5) Wanawake warembo wamekuwa wengi mno,kwahiyo hata selection sikuhizi inaconfuse

6) Mahari zimekuwa kubwa sana na pia wengi wanataka harusi sio kutorosha...na harusi yenyewe gharama mpaka kidume ajipange.

Wanaume wengi wanataka tu watoto sikuhizi sio wake.
Absolute correct
 
Wa kuolewa ndio hawapo. Wanaume huoa wanawake lakini wengi wanashindwa sasa hivi kwa sababu wanawake wamegeuka kuwa wanaume pia. Sasa utaoa mwanaume mwenzako?
 
Hilo Ni tatizo ambalo Ni tata kubwa linasababishwa Na kutokujiamini Kwa wakiume Na waolewaji pia....!!
 
in a closed system, entropy increases with time. 2nd law of thermodynamics.

Kwa nini ukimwaga maji hayazoleki?
Kiranga,unataka usemeje?

Does even marriage is subject to second law of thermodynamics?

And that is why,nowdays marriage is no longer a big deal,

Because it's going to more disordered state?
 
Kiranga,unataka usemeje?

Does even marriage is subject to second law of thermodynamics?

And that is why,nowdays marriage is no longer a big deal,

Because it's going to more disordered state?
Marriage = ordered pairing

Second law of thermodynamics = disintegration of order

Second law of thermodynamics = disintegration of marriage
 
Marriage = ordered pairing

Second law of thermodynamics = disintegration of order

Second law of thermodynamics = disintegration of marriage
You have hilarious way of reasoning

Or perhaps,you are talking about 2 nd law of Lovedynamics :D

Second law of thermodynamics applies only to the isolated systems

Ordered pair of marriage
[Wife and husband]
is not isolated,and therefore deviates from that law

Moreover,all laws of thermodynamics are applicable only to all systems that involve transmission of energy

Is there any kind of energy in marriage system?

Sexual energy?
 
Wanaume tupo wachache sana siku hizi...
wewe unajidanganya bado una data za siku nyingi sana, kwa taarifa yako wanaume wameshawapiku wanawake kwa wingi, sasa hivi mtaanza kushare mke mmoja kama hujachukua chako mapema ha ha ha yangu macho
 
You have hilarious way of reasoning

Or perhaps,you are talking about 2 nd law of Lovedynamics :D

Second law of thermodynamics applies only to the isolated systems

Ordered pair of marriage
[Wife and husband]
is not isolated,and therefore deviates from that law

Moreover,all laws of thermodynamics are applicable only to all systems that involve transmission of energy

Is there any kind of energy in marriage system?

Sexual energy?

It is isolated because it is defined by the bounds of marriage.

The second law of thermodynamics is far deeper and fundamental than the mere transmission of energy, it entails and defines the passage of time. But even with that, there is no marriage without transmission of energy.

In the olden day one could annul a marriage if it was not "consummated" so to speak.

And how does one consummate a marriage without the transmission of energy?
 
wewe unajidanganya bado una data za siku nyingi sana, kwa taarifa yako wanaume wameshawapiku wanawake kwa wingi, sasa hivi mtaanza kushare mke mmoja kama hujachukua chako mapema ha ha ha yangu macho
Aiseee kumbe ndo hivo... sasa wewe vip unapatikana?
 
Kwasababu wanawake wamekua wabinafsi na shinikizo la tamaduni za kimagharibi, asili ya mwanaume wa kiafrika ilikua ni kuoa wake zaidi ya mmoja, sasa mambo ya nke mmoja imekua tabu kidogo, nashauri turudie tamaduni zetu za kale. Ndoa zitarejea kwa wingi.
 
chief....why bother to buy a book while you can borrow one from the library??
 
Back
Top Bottom