Mkomavu
JF-Expert Member
- Jan 25, 2016
- 11,753
- 16,743
Absolute correctWanaume wengi hawaoi kwasababu:-
1) Wanachoshwa na matukio yanayowatokea wengine kwenye ndoa zao hasa USALITI& KUCHAPIWA NA KERO.
2) Wanawake wengi wamekuwa Wababe sana na kutaka haki sawa kila kukicha.
3) Wanawake wengi wanapenda maisha ya gharama sana na Mwanaume mwenye pesa nyingi sana. Ukiwa na pesa ya kawaida tu atakuacha siku moja amfuate mwenye fweza sana.
4) Urahisi wa Upatikanaji wa Papuchi sikuhizi. "Kama napata maziwa yanini kufuga ng'ombe"
5) Wanawake warembo wamekuwa wengi mno,kwahiyo hata selection sikuhizi inaconfuse
6) Mahari zimekuwa kubwa sana na pia wengi wanataka harusi sio kutorosha...na harusi yenyewe gharama mpaka kidume ajipange.
Wanaume wengi wanataka tu watoto sikuhizi sio wake.