Promotionhakuna lolote co wote me nilipata wakimakonde na wamechezwa kabisa na hawakufua dafu mapenzi hu2ndu 2 tena hasa uyajulie kama mm cjisifii nikiwa kitandani nakuwa m2ndu sana.
Promotionhakuna lolote co wote me nilipata wakimakonde na wamechezwa kabisa na hawakufua dafu mapenzi hu2ndu 2 tena hasa uyajulie kama mm cjisifii nikiwa kitandani nakuwa m2ndu sana.
hata mi nilikuwa suelewi kwanini naogopwa sana, kumbe sababu ni hizo sifa zangu ulizozitaja hapo juu.
Lakini kwanini tuogopwe na midume?
Upo sawa sana mwamba sina la kuongozaNafikiri ungesema kwann "hawadumu na wanawake wenye sifa hizi" kuliko kuwaogopa.
Nimesema hivo nikiwa na maana kwamba hao wenye hizo sifa wana watu wao(wanaume) ambao wanawashughulikia kisawasawa..hivyo mpaka hapo hawaogopeki,isipokuwa kudumu nao Mara nyingi ndio shida.
Trust me nafasi tu ya kuwapata kwa muda kadhaa ili wawe vocalised ndio tatizo..
Mfano manzi mkali na Pesa zake na magari,wenye access ya kumpata kirahisi ni wale watakaokutana nae job,sehemu za starehe za hadhi yake au kwenye business meeting.
Lakini suala la kusema wanaogopwa nalipinga kabisa..
As long wanaitwa wanawake,hakuna mwanaume anaeweza waogopa,unless unazungumzia wavulana.
Manyanyaso ya kina dada ni balaa. Akheri ya mwanaume. Pesa ni vizuri awe nayo mwanaume na shule na vyote ila wanawake wabaki na urembo wao tu. Hii ndiyo kanuni. Angalia wanawake wote wenye sifa hizo hapo juu wameachika au kutokuolewa kabisa matokeo yake wako gender equality na hakuna maendeleo yoyote wanayofanya kwa jamii ikaonekana zaidi ya kuvaa gold na tanzanite na kwenda maclub makubwa na kutaka umaarufu eti mamaa fulani. Ovyo sana. Wanaume ehe wanaume. NAOMBA kuwakilisha