<br />Kwangu hata umiliki ndege au uwe na Bank hapa lazima ukae tu, nitakua kiongoz wako no matter what.
<br />
Huo ndo uanamume 'masculine'
<br />Kwangu hata umiliki ndege au uwe na Bank hapa lazima ukae tu, nitakua kiongoz wako no matter what.
<br /><br /><br />
<br /><br />
sijaelewa kitu
Sawa wakaka mmeongea tumewasikia na kuwaelewa. Sasa ninauliza hizi sifa zinazingatiwa wakati wa registration period tu au hata mkiwia shaolewa?? Supose umeoa mkeo wa elimu ya kawaida. akajiendeleza au akabahatika kupandishwa cheo akapata mshahara mkubwa zaidi ya kipato chako we mwanaume.............je vigezo na masharti vitaendelea kuzingatiwa au??
hata mi nilikuwa suelewi kwanini naogopwa sana, kumbe sababu ni hizo sifa zangu ulizozitaja hapo juu.
Lakini kwanini tuogopwe na midume?
mimi mbona natafuta wenye sifa hizo siwapati???Nazjaz please.........................tutafutane.
Bora hata umkute yupo juu kuliko akiweza kuadvance wakati mpo wote, hapo ndio kiburi cha mwanamke utakapo kijuwa. tatizo ni watu kutokujuwa mungu ndio tatizo, watu wakirudi kwa mungu kila mtu ataijuwa nafasi yake ndani ya Familia/mahusiano.Sawa wakaka mmeongea tumewasikia na kuwaelewa. Sasa ninauliza hizi sifa zinazingatiwa wakati wa registration period tu au hata mkiwia shaolewa?? Supose umeoa mkeo wa elimu ya kawaida. akajiendeleza au akabahatika kupandishwa cheo akapata mshahara mkubwa zaidi ya kipato chako we mwanaume.............je vigezo na masharti vitaendelea kuzingatiwa au??
1. Wasomi
2. Wenye uchumi mkubwa
3. Warembo kupitiliza
4. Walio wazidi umri (mwanamke mkubwa zaidi ya umri wa mwanaume)
...Hili nalo Neno....heshima itakuja tu!!!Tumia vizuri mche uliopewa na Mungu,mwanamke ni mwanamke tu hata akiwa na nini hawezi kumbebesha mimba mwanaume,mpe dozi nene uone kama hatakueshimu ukiwa goi goi lazim akudharau.
Teeeeeh teeeeeh teeeehh..mh! hii ya wadada warefu iko vizuri. Niliwahi kumtongoza mmoja ni mrefu kunizidi mimi takribani futi 1 nzima..huwezi kuamini siku nilimpomtokea nikampa neno hakunijibu ila kilichofata akaniuliza are you serious? Nikamwambia ndio nilichomfanyia ali-admit kuwa hajakutana nacho tatizo wivu mwingi nikashindwana nae nikasepa!Naongezea.
5. Wanawake warefu kuwazidi
<br />Sawa wakaka mmeongea tumewasikia na kuwaelewa. Sasa ninauliza hizi sifa zinazingatiwa wakati wa registration period tu au hata mkiwia shaolewa?? Supose umeoa mkeo wa elimu ya kawaida. akajiendeleza au akabahatika kupandishwa cheo akapata mshahara mkubwa zaidi ya kipato chako we mwanaume.............je vigezo na masharti vitaendelea kuzingatiwa au??
<br />Mwanamke mwenye sifa hizi hujisahau kama ni mwanamke(hili ni kosa kubwa ktk mapanz.)
<br />Sawa wakaka mmeongea tumewasikia na kuwaelewa. Sasa ninauliza hizi sifa zinazingatiwa wakati wa registration period tu au hata mkiwia shaolewa?? Supose umeoa mkeo wa elimu ya kawaida. akajiendeleza au akabahatika kupandishwa cheo akapata mshahara mkubwa zaidi ya kipato chako we mwanaume.............je vigezo na masharti vitaendelea kuzingatiwa au??