BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,772
- 23,160
wanaopiga wenza wao hawajiamini
wameathirika kisaikolojia
malezi mabovu waliyopata utotoni
ujinga
kugeza
wameathirika kisaikolojia
malezi mabovu waliyopata utotoni
ujinga
kugeza
ni dhahiri wanawake hawapigwi tuu mradi mtu kajisikia(unless unavuta bangi au una mapungufu-mimi sizungumzii hao) msingi ni kwamba, mume kwa kawaida ana uwezo mkubwa wa kufikiri kuliko mwanamke, (hata ukikataa) unless hajakamilika-siko huko. so wananume hupenda vitu viwe perfect atleast, lakini wanawake wengi husahau hicho kitu(na vinginevyo vingi) na hiyo hutokana na wao kuwa na mambo mengi yasiyo ya msingi-kuoga dk30, kujiremba, kubadili nguo mara 3-4 kabla hajavaa kutoka n.k
so wananume hujikuta hana option
Hapa wengine mtatuonea bure, wengine tusipopiga wake zetu wanaishia kwenda kutusemea kwao kuwa, siku hizi hatuwapendi sana, kwani hata kuwapiga hatuwapigi!.