KIBONGOMKUTI
JF-Expert Member
- Nov 9, 2010
- 1,425
- 605
Nimekuwa najiuliza hili swali pia nimefanya jitihada za kusoma vitabu,tafiti,makala na baadhi ya movie. Kumekuwepo na harakati za kueneza ujumbe wa Haki na Usawa katika mahusiano. Kimtazamo wangu bado mama zetu, dada zetu,shangazi zetu na binti zetu wanadundwa. Nabaki mdomo wazi yyyyyyyyyyyyyyyyyyyyy