Kwanini wanaume waoga kuoa wanawake waliosoma???

ukweli uko pale pale kuwa mwanamke akijua ana elimu kuliko mume wake manyanyaso lazima na atamtreat kama apendavo na hata wakigombana atamwambia hana akili au hawezi kugombana na mtu alie na elimu ndogo kumpita yeye.mfano ninayo mingi labda hamjaifahamu.ni asilimia sifuri nukta 4 ya wanawake waliosoma kuliko waume zao wasiojisikia ila wengi ni vichwa maji. KAMA UNAOA LEO HII TAFUTA MWNEYE ELIMU SAWA NA YAKO AU ALIE CHINI YAKO ILA KUOA ALIEKUPITA NI MATATIZO CHUNGU NZIMA DHARAU NYINGI,KEJELI NK.
 
Umeshawahi kujua hili sababu nini??
Yaani ni sumu kwa makabila mengi sana wakisikia unaoa mwanamke
alie na elimu ama ya kukukaribia ama amekuzidi yaani n shida tupu
watakutajia matatizo yao na kuyalinganisha na hao waliosoma wengine
wanasema hawanaheshima wengine wanasema utaletewa mwenza nyumbani
je umewahi kuyakuta haya ndugu uliechukua chombo kilichoenda shule

zamani walikuwa wanadai ukiwa na aliesoma wengi wanashauri ukajenge
kwao na kuacha kujenga kwa mwanaume je hii ni kweli..ingawa ujenzi ni
swala lenu wawilialiitaji baba mkwe wala bibimkwe ila kwa wale wenye uzoefu
si vibaya ukaleta hali halisi ya ukweli aijalishi unalazwa nje ama unapewa unyumba
mara moja kwa wiki najua hili litakuja kuwa muwazi na wale wanaoishi kwenye
furaha ikiambatanishwa na kuheshimiana kusaidiana mnasemaje kwa hili??

Vigezo na masharti kuzingatiwa

Mi nadhani wanaume wengi tena waelewa hawaogopi hili, tatizo ni familia zetu tena hasa zile masikini. Mtu haoi elimu, ila anaoa mke swala la elimu sio tatizo. Kwa familia zenye uelewa, kijana ukioa msomi inakuwa challenge kubwa kwako, hasa ukizingatia kuwa elimu haina kikomo. Nawafahamu wanandoa ambao mume ni shoe shiner na mke ni lawyer, huwezi kuamini maisha wanayoishi, na mume anajiendeleza na huwezi jua labda iko siku watakuwa sawa kielimu!

Kikubwa ktk kuoa mmwanaume aangalie tabia ya mwanamke (na mengineyo) but elimu sio tatizo.
 
wanaume sio waoga kuoa wanawake waliosoma. Mbona kuna wanaume wa darasa la saba wameoa wanawake wenye PhD.

Tatizo kubwa la kwanza endapo mtaoana kwa kuangalia perishable/material things/money- kuwa atakusaidia katika maisha

jambo la kwanza la msingi ni upendo wa kweli kati yenu

jambo la pili tabia ya mwanamke kwani ndiye mlezi wa watoto na mlinzi wa mumewe, akiwa na tabia mbaya huleta shida katika malezi ya watoto
 
wanaume sio waoga kuoa wanawake waliosoma. Mbona kuna wanaume wa darasa la saba wameoa wanawake wenye PhD.

Tatizo kubwa la kwanza endapo mtaoana kwa kuangalia perishable/material things/money- kuwa atakusaidia katika maisha

jambo la kwanza la msingi ni upendo wa kweli kati yenu

jambo la pili tabia ya mwanamke kwani ndiye mlezi wa watoto na mlinzi wa mumewe, akiwa na tabia mbaya huleta shida katika malezi ya watoto
 
Wanawake wasomi wanatembea na book of rules kwenye ndoa.

matatizo makubwa ya wanawake waliosoma yanayowafanya wanaume wawachukie na wasitake hata kuwaowa mengi kati yake ni haya yafuatayo

1. hawapendi kuzaa watoto zaidi ya wawili(2) bila wao kujua watoto ndio sifa na heshima ya mwanaume yeyote katika jamii

2. wana tabia fulani ya ubishi, mpaka wakalipiwe ndipo wanashituka na kuanza kulalamika kuwa kwann asingeambiwa kwa upole kwani asingeelewa

3.wana kiburi, baadhi yao, wanachukua muda mrefu kutii na kufuata yale wanayoelekezwa na waume zao bila kujali kuwa pasipo utii mwanaume hawezi kumpenda mwanamke kwa jinsi yoyote ile. Mwanaume ni mtawala sawa na Serikali, usipoitii serikali katika mema itatumia hata FFU/JESHI/POLISI/MAHAKAMA KUKUFANYA KUTII, wanaume wanatumia vipigo, lakini wasioweza na wasio na tabia za kupigana/kupiga wake zao wanaona suluhisho kutowaowa wanawake wasio watii ikijumuisha waliosoma

4. wanawake waliosoma wana tabia za kuwanyima waume zao tendo la ndoa(kujamiana) kwa sababu za kijinga au kuwapa tendo la ndoa pale tu wanapotaka

wanawake waliosoma wana sababu nyingi za kijinga ikiwemo kuchoka hasa inapokuja wakati wa kufanya tendo la ndoa, sasa wanaume wanachukizwa sana na tabia za kunyimwa haki yao ya tendo la ndoa, na ndio maana wengine kuepusha shari wanaamua kutokuwaoa. jiulize kama unamnyima mume wako tendo la ndoa kwann ulikubali kuolewa aye, ulidhani umeolewa kwa ajili ya kwenda kumfulia nguo au kumpikia? kama wanawake mnafikiri mliolewa kuwapikia au kuwafulia wanaume nguo mmekosea sana, ndio maana waume zenu wanatoka nje ya ndoa na ombeni wasiangukie miguuni mwa wanawake wa Tanga/wapare/wahaya/wanyakyusa kwani watahamisha nguo moja baada ya nyinigine hadi chupi zitachukuliwa.

5. baadhi ya wanawake waliosoma wagumu kutoa pesa zao kuchangia maendeleo ya familia. unakuta kila hela anayopokea hata kama ana mshahara mkubwa kuliko mume wake unakuta hayuko tayari kuchangia maendeleo ya familia. kila asubuhi atadai hela ya matumizi yake na ya nyumbani, ataomba hela ya kununua nguo zake yeye akipata fedha yake anajua anakoipeleka, sasa mwanaume anayetumia akili ya kawaida atajiuliza kwann aoe mwanamke ambaye ni mchoyo na asiye changia maendeleo ya familia? Mwanaume anakuwa anamuona ni mzigo usiobebeka, sasa kwanin ubebe mzigo ambao haulazimishwi kuubeba.
suluhisho kwa mwanaume inakuwa kutomuoa

6. kushindana na waume zao
wanawake waliosoma wakati mwingine wanakuwa na tabia ya kutafuta kushindana na waume zao kwa mambo yasiyo sawa. unakuta anaelekezwa kuwa jambo fulani mume wake halipendi lkn unakuta yy anangángánia, sasa mtu akimjua hivyo katika hatua za awali kabla ya kumuoa anaamua kuacha kumuoa hata kama alishatoa mahali, anasamehe hata mahali. Mm naandika haya nikiwa na ushahidi wa kutosha, mtu wangu wa karibu alimwacha mke wake mtarajiwa ambaye tayari alishamtolea na mahali kwasababu kama hii, kutokana na kutokuwa msikivu na mbishi alingia katika ugomvi usio maana na kukutwa katika mazingira tatanishi wakati alishamwonya

wanaume nawashauri tuwe wawazi katika hili ili wanawake waliosoma wajue ukweli ili wale wenye akilii wabadilike na kufuta fikra potofu walizonazo vichwani mwao na kusaidika

Wanaume tuliosoma tunataka sana kuoa wanawake waliosoma kwasababu ufahamu wao unaweza kuwawezesha kulea vizuri watoto na kusimamia masuala mengi ya kimaendeleo katika familia tofauti na wanawake ambao hawajasoma
 
matatizo makubwa ya wanawake waliosoma yanayowafanya wanaume wawachukie na wasitake hata kuwaowa mengi kati yake ni haya yafuatayo

1. hawapendi kuzaa watoto zaidi ya wawili(2) bila wao kujua watoto ndio sifa na heshima ya mwanaume yeyote katika jamii

2. wana tabia fulani ya ubishi, mpaka wakalipiwe ndipo wanashituka na kuanza kulalamika kuwa kwann asingeambiwa kwa upole kwani asingeelewa

3.wana kiburi, baadhi yao, wanachukua muda mrefu kutii na kufuata yale wanayoelekezwa na waume zao bila kujali kuwa pasipo utii mwanaume hawezi kumpenda mwanamke kwa jinsi yoyote ile. Mwanaume ni mtawala sawa na Serikali, usipoitii serikali katika mema itatumia hata FFU/JESHI/POLISI/MAHAKAMA KUKUFANYA KUTII, wanaume wanatumia vipigo, lakini wasioweza na wasio na tabia za kupigana/kupiga wake zao wanaona suluhisho kutowaowa wanawake wasio watii ikijumuisha waliosoma

4. wanawake waliosoma wana tabia za kuwanyima waume zao tendo la ndoa(kujamiana) kwa sababu za kijinga au kuwapa tendo la ndoa pale tu wanapotaka

wanawake waliosoma wana sababu nyingi za kijinga ikiwemo kuchoka hasa inapokuja wakati wa kufanya tendo la ndoa, sasa wanaume wanachukizwa sana na tabia za kunyimwa haki yao ya tendo la ndoa, na ndio maana wengine kuepusha shari wanaamua kutokuwaoa. jiulize kama unamnyima mume wako tendo la ndoa kwann ulikubali kuolewa aye, ulidhani umeolewa kwa ajili ya kwenda kumfulia nguo au kumpikia? kama wanawake mnafikiri mliolewa kuwapikia au kuwafulia wanaume nguo mmekosea sana, ndio maana waume zenu wanatoka nje ya ndoa na ombeni wasiangukie miguuni mwa wanawake wa Tanga/wapare/wahaya/wanyakyusa kwani watahamisha nguo moja baada ya nyinigine hadi chupi zitachukuliwa.

5. baadhi ya wanawake waliosoma wagumu kutoa pesa zao kuchangia maendeleo ya familia. unakuta kila hela anayopokea hata kama ana mshahara mkubwa kuliko mume wake unakuta hayuko tayari kuchangia maendeleo ya familia. kila asubuhi atadai hela ya matumizi yake na ya nyumbani, ataomba hela ya kununua nguo zake yeye akipata fedha yake anajua anakoipeleka, sasa mwanaume anayetumia akili ya kawaida atajiuliza kwann aoe mwanamke ambaye ni mchoyo na asiye changia maendeleo ya familia? Mwanaume anakuwa anamuona ni mzigo usiobebeka, sasa kwanin ubebe mzigo ambao haulazimishwi kuubeba.
suluhisho kwa mwanaume inakuwa kutomuoa

6. kushindana na waume zao
wanawake waliosoma wakati mwingine wanakuwa na tabia ya kutafuta kushindana na waume zao kwa mambo yasiyo sawa. unakuta anaelekezwa kuwa jambo fulani mume wake halipendi lkn unakuta yy anangángánia, sasa mtu akimjua hivyo katika hatua za awali kabla ya kumuoa anaamua kuacha kumuoa hata kama alishatoa mahali, anasamehe hata mahali. Mm naandika haya nikiwa na ushahidi wa kutosha, mtu wangu wa karibu alimwacha mke wake mtarajiwa ambaye tayari alishamtolea na mahali kwasababu kama hii, kutokana na kutokuwa msikivu na mbishi alingia katika ugomvi usio maana na kukutwa katika mazingira tatanishi wakati alishamwonya

wanaume nawashauri tuwe wawazi katika hili ili wanawake waliosoma wajue ukweli ili wale wenye akilii wabadilike na kufuta fikra potofu walizonazo vichwani mwao na kusaidika

Wanawake tambueni kuwa Wanaume tuliosoma tunataka sana kuoa wanawake waliosoma kwasababu ufahamu wao unaweza kuwawezesha kulea vizuri watoto na kusimamia masuala mengi ya kimaendeleo katika familia tofauti na wanawake ambao hawajasoma
 
Kinacho matter ni franga mazee! Kama anaelimu na franga kupita mume hapo noma, lakini kama ana elimu kuzidi mume alafu franga hamna, imekula kwake. Kinacho matter ni who puts the food on the table. Mifano ipo mingi tu, unakuta mtu ana ka diploma tu na mke ana degree mbili na masters lakini mume ndo ana provide kila kitu mizoo! Hapo je? Kuwa na elimu nyingi it does not mean you are a street king, the law of the street hustling and the law of the books are two different things mazee!
 
matatizo makubwa ya wanawake waliosoma yanayowafanya wanaume wawachukie na wasitake hata kuwaowa mengi kati yake ni haya yafuatayo

1. hawapendi kuzaa watoto zaidi ya wawili(2) bila wao kujua watoto ndio sifa na heshima ya mwanaume yeyote katika jamii

2. wana tabia fulani ya ubishi, mpaka wakalipiwe ndipo wanashituka na kuanza kulalamika kuwa kwann asingeambiwa kwa upole kwani asingeelewa

3.wana kiburi, baadhi yao, wanachukua muda mrefu kutii na kufuata yale wanayoelekezwa na waume zao bila kujali kuwa pasipo utii mwanaume hawezi kumpenda mwanamke kwa jinsi yoyote ile. Mwanaume ni mtawala sawa na Serikali, usipoitii serikali katika mema itatumia hata FFU/JESHI/POLISI/MAHAKAMA KUKUFANYA KUTII, wanaume wanatumia vipigo, lakini wasioweza na wasio na tabia za kupigana/kupiga wake zao wanaona suluhisho kutowaowa wanawake wasio watii ikijumuisha waliosoma

4. wanawake waliosoma wana tabia za kuwanyima waume zao tendo la ndoa(kujamiana) kwa sababu za kijinga au kuwapa tendo la ndoa pale tu wanapotaka

katia hili wanawake waliosoma wana sababu nyingi za kijinga ikiwemo kuchoka hasa inapokuja wakati wa kufanya tendo la ndoa, sasa wanaume wanachukizwa sana na tabia za kunyimwa haki yao ya tendo la ndoa, na ndio maana wengine kuepusha shari wanaamua kutokuwaoa. jiulize kama unamnyima mume wako tendo la ndoa unataka apewe na nani na kwann ulikubali kuolewa naye, ulidhani umeolewa kwa ajili ya kwenda kumfulia nguo au kumpikia? kwani kabla ya kukuoa alikuwa hali chakula au havai nguo safi? kama wanawake mnafikiri mliolewa kuwapikia au kuwafulia wanaume nguo mmekosea sana, ndio maana waume zenu wanatoka nje ya ndoa na ombeni wasiangukie miguuni mwa wanawake wa Tanga/wapare/wahaya/wanyakyusa kwani watahamisha nguo moja baada ya nyinigine hadi chupi zitachukuliwa.

5. baadhi ya wanawake waliosoma wagumu kutoa pesa zao kuchangia maendeleo ya familia. unakuta kila hela anayopokea hata kama ana mshahara mkubwa kuliko mume wake unakuta hayuko tayari kuchangia maendeleo ya familia. kila asubuhi atadai hela ya matumizi yake na ya nyumbani, ataomba hela ya kununua nguo zake yeye akipata fedha yake anajua anakoipeleka, sasa mwanaume anayetumia akili ya kawaida atajiuliza kwann aoe mwanamke ambaye ni mchoyo na asiye changia maendeleo ya familia? Mwanaume anakuwa anamuona ni mzigo usiobebeka, sasa kwanin ubebe mzigo ambao haulazimishwi kuubeba.
suluhisho kwa mwanaume inakuwa kutomuoa

6. kushindana na waume zao
wanawake waliosoma wakati mwingine wanakuwa na tabia ya kutafuta kushindana na waume zao kwa mambo yasiyo sawa. unakuta anaelekezwa kuwa jambo fulani mume wake halipendi lkn unakuta yy anangángánia, sasa mtu akimjua hivyo katika hatua za awali kabla ya kumuoa anaamua kuacha kumuoa hata kama alishatoa mahali, anasamehe hata mahali. Mm naandika haya nikiwa na ushahidi wa kutosha, mtu wangu wa karibu alimwacha mke wake mtarajiwa ambaye tayari alishamtolea na mahali kwasababu kama hii, kutokana na kutokuwa msikivu na mbishi alingia katika ugomvi usio maana na kukutwa katika mazingira tatanishi wakati alishamwonya

wanaume nawashauri tuwe wawazi katika hili ili wanawake waliosoma wajue ukweli ili wale wenye akilii wabadilike na kufuta fikra potofu walizonazo vichwani mwao na kusaidika

Wanawake tambueni kuwa Wanaume tuliosoma tunataka sana kuoa wanawake waliosoma kwasababu ufahamu wao unaweza kuwawezesha kulea vizuri watoto na kusimamia masuala mengi ya kimaendeleo katika familia tofauti na wanawake ambao hawajasoma
 
\
7. wanawake waliosoma wana dharau

wengi wao huwa wanajiskia sana na wakipata vyeo ndio dharau huzidi, ndio maana weng baadae huachika
 
hakuna mwanaume anayeogopa kuoa mwanamke aliyesoma shida ni tabia zao mbovu baada ya kusoma hujiona wako sawa na wanaume na heshima hupungua. mwanaume shurti aheshimiwe

Wanawake kumbukeni hatukuamua wala hatukuomba tuwe wanaume bali tumeumbwa hivyo na uumbaji ulianza kwa wanaume wanwake walikuja baada ya mwanaume kuumbwa. Suala hili hata wanyama wanajua, ukiwa porini wanyama hata ngedere akimwona mwanamke kama ana ndizi anaweza akamfukuza na kumnyangángánya lakini ndizi hiyo hiyo ikibebwa na mwanaume hata akiwa kijana mdogo wa miaka miwili ngedere hawezi kuthubutu hata kusogelea

jamani kama hata ngedere na wanyama wanawaheshimu wanaume iweje wanawake muwadharau wanaume zenu

badilikeni ili mule mema ya nchi
 
hakuna mwanaume anayeogopa kuoa mwanamke aliyesoma shida ni tabia zao mbovu baada ya kusoma hujiona wako sawa na wanaume na heshima hupungua. mwanaume shurti aheshimiwe

Wanawake kumbukeni hatukuamua wala hatukuomba tuwe wanaume bali tumeumbwa hivyo na uumbaji ulianza kwa wanaume wanawake waliumbwa baada ya mwanaume kuumbwa. Suala hili hata wanyama wanajua, ukiwa porini wanyama hata ngedere akimwona mwanamke kama ana ndizi anaweza akamfukuza na kumnyangánya lakini ndizi hiyo hiyo ikibebwa na mwanaume hata akiwa kijana mdogo wa miaka miwili ngedere hawezi kuthubutu hata kumsogelea

jamani kama hata ngedere na wanyama wanawaheshimu wanaume iweje wanawake muwadharau wanaume zenu

badilikeni ili mule mema ya nchi
 
Yani unachekesha sana, wanaume waogope wanawake walio soma!!!

Kwa sababu gani wawaogope?

Wewe umesahau mwanamke hata kama ana PhD, akiwa kitandani mwanume anakuwa juu ya huyo mwanamke :biggrin:
 
Inashauriwa mkeo asikuzidi kipato.. Jitahidi kila uwezavyo. Elimu ni wewe mwenyewe na kujiamini kwako,lakini kikubwa kipato.. Ye hata kama kasomaje,kama kipato unaingiza zaidi.. Basi.. Ni wanawake wachache sana wanaoweza kuwa submissive mara wanapomzidi mwanaume..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom