I'm not attracted to black men na sijasoma africa.ila naona watu wengi Hulu USA wenye wanawake wasio jua English na very heavy accentNatalia is back from ban... Je na wewe ni wa kijijini nami nikuwowe as na mimi nimepita hizo shule..
Kwanza tunaendana as we ulipigwa ban august mwaka huu na mimi nilipigwa ban august mwaka jana... So tuwowane natalia wangu
I'm not attracted to black men na sijasoma africa.ila naona watu wengi Hulu USA wenye wanawake wasio jua English na very heavy accent
I'm not attracted to black men na sijasoma africa.ila naona watu wengi Hulu USA wenye wanawake wasio jua English na very heavy accent
How old are you??Nafikiri wa 1980s na 1990s no sense of humor .wako serious mnoo
Nafikiri wa 1980s na 1990s no sense of humor .wako serious mnoo
Huyu kaliwa kichwa na hao jamaa kwani ukiangalia watu wa miaka hiyo kwa sasa watakuwa kidogo na uwezo kimaisha, sasa anashangaa jamaa wanagonga wanasepa kwa wake zao, yeye na english yake anabaki anasafisha tu kikojoleo! Inabidi aconclude na research yake ya mabwana tisa wa Tambaza aliokutana nao. Hatari sana!!Bahati mbaya au nzuri nimesoma AZANIA but kwenye 2000s'
Anyway Natalia angalau kidogo leo umejionyesha umri wako kwamba una-range vipi , so umesoma sekondari 80s' au 90s' ? wapi Jangwani? Zanaki? So wale wakaka wa Azania/Tambaza uliokuwa nao sekondari miaka sawa hiyo ya 80s' na 90s' wengi wameoa wa kijijini?
Huyu kaliwa kichwa na hao jamaa kwani ukiangalia watu wa miaka hiyo kwa sasa watakuwa kidogo na uwezo kimaisha, sasa anashangaa jamaa wanagonga wanasepa kwa wake zao, yeye na english yake anabaki anasafisha tu kikojoleo! Inabidi aconclude na research yake ya mabwana tisa wa Tambaza aliokutana nao. Hatari sana!!
Huyu kaliwa kichwa na hao jamaa kwani ukiangalia watu wa miaka hiyo kwa sasa watakuwa kidogo na uwezo kimaisha, sasa anashangaa jamaa wanagonga wanasepa kwa wake zao, yeye na english yake anabaki anasafisha tu kikojoleo! Inabidi aconclude na research yake ya mabwana tisa wa Tambaza aliokutana nao. Hatari sana!!
Acha umbea. Kwani unawajua wake za wanaume wote waliosoma shule hizo? Acha uvivu wa kufanya hitimisho rahisi bila utafiti kijana.