Kwanini wanaume waliosoma 1990s Tambaza, Azania & Mkwawa wanaoa wanawake wa vijijini?

Natalia is back from ban... Je na wewe ni wa kijijini nami nikuwowe as na mimi nimepita hizo shule..

Kwanza tunaendana as we ulipigwa ban august mwaka huu na mimi nilipigwa ban august mwaka jana... So tuwowane natalia wangu
 
Natalia is back from ban... Je na wewe ni wa kijijini nami nikuwowe as na mimi nimepita hizo shule..

Kwanza tunaendana as we ulipigwa ban august mwaka huu na mimi nilipigwa ban august mwaka jana... So tuwowane natalia wangu
I'm not attracted to black men na sijasoma africa.ila naona watu wengi Hulu USA wenye wanawake wasio jua English na very heavy accent
 
I'm not attracted to black men na sijasoma africa.ila naona watu wengi Hulu USA wenye wanawake wasio jua English na very heavy accent

Mimi point 5 Dutch na mwafrica vipi nina nafasi..?
 
Acha umbea. Kwani unawajua wake za wanaume wote waliosoma shule hizo? Acha uvivu wa kufanya hitimisho rahisi bila utafiti kijana.
 
Natalia you are a stinking racist who does not know who she is. Utakuta huna lolote zaidi ya kujishebedua. Au tuseme ni kinyume kuwa nao hao usiovutika kwao wamekushiti hivyo ukaamua ukandie tu? Je ni jibu? Mijitu mingine kwa kuishi ndotoni na kujidanganya! To hell with your inferiority complexion my daughter.
 
Nafikiri wa 1980s na 1990s no sense of humor .wako serious mnoo

Bahati mbaya au nzuri nimesoma AZANIA but kwenye 2000s'

Anyway Natalia angalau kidogo leo umejionyesha umri wako kwamba una-range vipi , so umesoma sekondari 80s' au 90s' ? wapi Jangwani? Zanaki? So wale wakaka wa Azania/Tambaza uliokuwa nao sekondari miaka sawa hiyo ya 80s' na 90s' wengi wameoa wa kijijini?
 
Bahati mbaya au nzuri nimesoma AZANIA but kwenye 2000s'

Anyway Natalia angalau kidogo leo umejionyesha umri wako kwamba una-range vipi , so umesoma sekondari 80s' au 90s' ? wapi Jangwani? Zanaki? So wale wakaka wa Azania/Tambaza uliokuwa nao sekondari miaka sawa hiyo ya 80s' na 90s' wengi wameoa wa kijijini?
Huyu kaliwa kichwa na hao jamaa kwani ukiangalia watu wa miaka hiyo kwa sasa watakuwa kidogo na uwezo kimaisha, sasa anashangaa jamaa wanagonga wanasepa kwa wake zao, yeye na english yake anabaki anasafisha tu kikojoleo! Inabidi aconclude na research yake ya mabwana tisa wa Tambaza aliokutana nao. Hatari sana!!
 
Huyu kaliwa kichwa na hao jamaa kwani ukiangalia watu wa miaka hiyo kwa sasa watakuwa kidogo na uwezo kimaisha, sasa anashangaa jamaa wanagonga wanasepa kwa wake zao, yeye na english yake anabaki anasafisha tu kikojoleo! Inabidi aconclude na research yake ya mabwana tisa wa Tambaza aliokutana nao. Hatari sana!!

nakuunga mkono..... Alidhani ataolewa kwa english yake ya sant naniliu............ Kumbe kuna zaidi ya hayo yanayomfanya mwanamke kuwa mke.........


Natalia welcome back, nilimiss vimbwanga vyako......kesho tupe observation ya Udsm
 
Last edited by a moderator:
Huyu kaliwa kichwa na hao jamaa kwani ukiangalia watu wa miaka hiyo kwa sasa watakuwa kidogo na uwezo kimaisha, sasa anashangaa jamaa wanagonga wanasepa kwa wake zao, yeye na english yake anabaki anasafisha tu kikojoleo! Inabidi aconclude na research yake ya mabwana tisa wa Tambaza aliokutana nao. Hatari sana!!

na amejuaje hao wasela walisoma hizo shule kama hakuwa nao sekondari miaka sawa? so natalia kama alisoma nao shuleni miaka sawa hiyo ya 80s' au 90s so probable naty anaangukia karibia na 40s lakini still anakt like a teenager!
 
Acha umbea. Kwani unawajua wake za wanaume wote waliosoma shule hizo? Acha uvivu wa kufanya hitimisho rahisi bila utafiti kijana.

Usibishane na kahaba kuhusu wanaume hata kama wewe ni mwanaume. Wewe unajijua wewe kama mwanaume, yeye anajua WANAUME.

Anasema we have no sense of humor kwa kuwa hatum -treat kisharobaro kama madogo wenzake. Namna hii ya wanawake ndio msingi wa kuharibika kwa maadili ya jamii yetu. Anadhani na sisi tuliosoma those days tunaweza kuvaa kata k na kukumbatiana hadharani kama wanavyofanya wao.
 
Back
Top Bottom