Fomu zinapatatikana wapi mkuu, nahitaji kwenda haraka, tehe tehe tehe.Ni kweli... Wanapenda kurembwa na kupambwa.. Hiyo ni hulka hata Kama wanadanganywa. Kuna chuo kule DRC mkuu ukienda miezi mi tatu ukirudi hapo bongo hawapindui
hata wallet huhitaji tena watatoa wao
Do u have good sense of humor???
coz I'm not giving you dinner for free
You have to make me laugh 1st ...
Yah! there is no free lunch in here...you have to work for it.
mmmmmmhhhh
sweet........ then meet me at THE SUN DIAL
Saturday 7.30pm top flow...
Fomu zinapatatikana wapi mkuu, nahitaji kwenda haraka, tehe tehe tehe.
Bujibuji aseme kawagonga wangapi humu JF?
una balaa wewe, nyie ndio mkipata msichana mnapita kwenye kuta za watu na kuanza kuandika kwa mkaa mambo mliyoenda kufanya chumbani
upo:busu