mchajikobe
JF-Expert Member
- Aug 14, 2009
- 2,652
- 1,237
Ndugu wana JF wenzangu kunajambo linanisumbua sana kwa muda mrefu,kuna hiki kitu kinachoitwa kuchezeana kwenye mapenzi,ni muda mrefu nimekuwanikisikia wanawake wengi wakilalamika kuwa hivi wanapendwa kweli au wanachezewa(potezewa muda) tu na wapenzi wao.Hivi ni kweli kuwa wanaume hawachezewi na wanawake?je,ni wanaume tuu ndio huwachezea wanawake?Sasa kuna rafikia yangu mmoja ambaye anampenzi wake ambaye kiukweli anampenda sana,mpaka huwa anasisitiza hilo kwangu,lakini tatizo ni kwamba huyo dada ameolewa kinyemela kabla ya mfungo wa RAMADHAN,hakutaka kumwambia huyu jamaa yangu,na bado huyu dada anamng'ang'ania jamaa yangu wakati yeye tayari ana mume,lakini jamaa yangu hajui kuwa huyu dada ameshaolewa.Sasa hapa ndugu wana JF huku sio kuchezewa kwa mwanaume?
Je,niwanawake tuu ndio huchezewa???
Je,niwanawake tuu ndio huchezewa???