Digaller
JF-Expert Member
- Oct 20, 2009
- 745
- 427
Huwa najiuliza lakini sipati jibu, Hebu Wadau nisaidieni.
Kwanini tunalipa mahari tunapotaka kuoa?????
Je wewe kabila lako wanatoza shilingi ngapi kama mahari kwa mwanamke BK na kwa mwanamke ambae tayari alikwishaolewa na ana watoto/mtoto?
Kwenu Wadau, Nawasilisha.............!!!!
Kwanini tunalipa mahari tunapotaka kuoa?????
Je wewe kabila lako wanatoza shilingi ngapi kama mahari kwa mwanamke BK na kwa mwanamke ambae tayari alikwishaolewa na ana watoto/mtoto?
Kwenu Wadau, Nawasilisha.............!!!!