Red Giant
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 15,658
- 20,887
Kisaikolojia inasemekana kuwa mtu akikosa kitu alichotarajia (frastruesheni) mbinu mojawapo atayo tumia ni kurudia tabia zake za zamani hata za kijinga! mfano mtoto akiwa pekee yake nyumbani huwa wazazi wanamkea sana na kumpa atensheni kubwa sasa akizaliwa mdogo waka utaona anaanza tabia za kulialia, kudeka, na tabia nyingine za kitoto ambazo aliacha kama vile kukojoa kitandani alimradi tu apate atensheni. mwanamke anapojifungua huhamishia atensheni na upendo wake kwenda kwa mtoto, mume anaanza kumuonea wivu mtoto ili kupata atensheni anaanzisha tabia za ajabu ajabu. solusheni: ni kulielewa hili jambo na kufesi ze rialite.(ukikosa neno la kiswahili chukua la kingereza liweke kwa kiswahili-Jakaya mrisho kikwete)