Kwanini wanafunzi wengi wanafeli?unajua kunanini nyuma ya pazia

BY ABU MSABI
sababu za kufeli zipo aina mbili kuna za kisiasa na sababu halisi. mimi nitataja sababu halisi
1. kuporomoka kwa maadili "displine" za wanafunzi na waalimu
2. kuenea kwa filamu za kijinga za kibongo na za nchi nyingine ambazo zinawajenge vijaana kuona maisha ni rahisi kama wanavyoona wahusika wakiishi kwenye filamu
3. kupoteza muda mrefu kwenye hizi filamu na miepsode isiyotija
4. wanafunzi kujihusisha na mapenzi
5.kuongezeka kwa mayatima walio na baba na mama yaani wazazi wako hai lakini role yao ni zero katika malezi kazi yao ni kuwapa chakula tu, eti baba anakaa na mwanaye anatazama ze comedi

6.Serikali kutokujali
7.haraka za wasahihishaji wakihimizwa na Necta ili wawahi kumaliza katika kubana posho
 
walimu tunahusika kwa vipi hapa??hebu acha upuuz mshahara wenyewe unaisha siku mbili tu halafu bado mwatupa lawama

Punguza hasira mkuu nilikuwa najib post ya jamaa wa hapo juu. By the way ni mshahara upi ukipewa utakutosha mkuu?
 
Hakuna hiyo kitu , either hiyo mitihani ni chini ya 'Standards' zinazotakiwa au ,
unatuhadaa ili kuondoa lawama kwa wanafunzi ambao baadhi yao wamejitakia,
Halafu NECTA haifelishi mwanafunzi yeyote...

Standard sahihi ya mtihani ni mtihani ambao asilimia 50 hadi ya 64 watahiniwa wanafaulu. Inapotokea asilimia kubwa sana wanafaulu mfano 90% basi mtihani rahisi sana. Hali kadhalika ikitokea kiwango kikubwa wanafeli aidha mtihani mgumu au wanafunzi sifuri. Binafsi nahisi tatizo uwelewa mdogo wa lugha ya kingereza unachangia pakubwa kufeli mtihani.
 
Habari zenu wakuu,imekua ni jambo la ajabu sana kua unaweza kuona baadhi ya wanafunzi huwa wanafaulu karibu mihula yote wanayokuaga darasani na vidato mbali mbali lakini inakuaga vigumu sana wanafunzi hawa kufaulu form4 au form6 hata kama wanaakili au hufaulu kwa wastani basi wakifika form4 au form6 unakuta wanapata division4 au zero kabisa,wakati mitiani mingine yakuwapima unakuta wanaweza pata division1 au division2.Swali linakuja,Je inawezekana kweli mwanafunzi awe anafaulu hiyo mihula minginge lakini akifika finals za form4 au form6 anafeli kabisa kama hana akili?au kuna hujumu flani inafanyika na watendaji wa serikali dhidi ya wanafunzi?je kwanini kama ni kweli hawa watendaji wa serikali wanaodili na mitihani ya hawa wanafunzi huwa wanawafanyia hujuma wanafunzi na kuwafelisha mitihani hii ya form4 au form6?inawezekana kuwa ni kwasababu serikali inajaribu kupunguza idadi ya wanafunzi wanaofaulu ili kukwepa kuongezeka kwa garama wanazotumia kuwapa wanafunzi walofaulu kama hawa wanafunzi wa vyuo ambao kutwa hata wao zile ela wanazopewa haziwatoshelezi na kila siku wanaleta migomo vyuoni.Tukiangalia kwa upana zaidi tunaona kwenye upande wa elimu serikali haijatilia mkazo katika swala la elimu,imekua haionyeshi jitihada kujitahidi wananchi wetu watanzania kuondokana na ujinga through education,lakini insted tumeshuhudia serikali yetu ikikandamiza sekta ya elimu bila kuisaidia kama inavyotakiwa kwa kujenga majengo mazuri yaa shule,kutoa vifaa na maabara ya kiwango cha juu shule ziwe na vifaa vyakutosha kukidhi na kua katika viwango vinavyoitajika.Je nitakua nakosea kusema serikali inafanya ivi makusudi ili tubaki kuwa wajinga na tusiendelee kujua lolote linaloendelea nchini kwa kutunyima taaluma ya msingi ya elimu?wanataka tubaki kuwa wajinga kila wasemalo tuone sawa kwakua hatujasoma?je mamilioni ya pesa wanayotumia unnecessarly kwa mapati yao na kadhalika,leo hii wangetumia hizo fedha kwa kujenga shule si tungekua na shule nyingi na karibu ya 80% wangekua wamefuta ujinga na wamesoma.Hii ni wazi serikali inapenda tuzidi kuwa wajinga na kutu discourage tujione wajinga hatuna akili,ndo maana wengi wanaofeli hata form4 au form6 wanaishia mtaani kama wazee wao hawana uwezo..Nawashilisha hoja,tuchanganue jamani ningependa kujua zaidi pia nanyi wenye michango yenu

Mkuu hapa kwa upande wangu naona kama silabasi haiishi kwahiyo utakuta mwalimu anavyotunga mitihani ile ya ndani anatunga mpaka wanapoishia ila necta wao wanaangalia silabasi ambayo kwa kiasi kikubwa walimu hawaimalizi
 
Kama wanajibu mitihani kwa kuandika kama ulivyoandika wewe no wonder wengi wanafeli!

Sasa ungepangilia hoja zako kwa kutumia aya ingekuwa rahisi hata kufuata kile unachokisema bila kuchoka wala kurudia rudia kusoma.

Unaonaje ukiweka aya kwenye bandiko lako?

Sema umeshindwa kujenga hoja wewe acha kujitetea tetea uongo hapa
 
sababu za kufeli zipo aina mbili kuna za kisiasa na sababu halisi. mimi nitataja sababu halisi
1. kuporomoka kwa maadili "displine" za wanafunzi na waalimu
2. kuenea kwa filamu za kijinga za kibongo na za nchi nyingine ambazo zinawajenge vijaana kuona maisha ni rahisi kama wanavyoona wahusika wakiishi kwenye filamu
3. kupoteza muda mrefu kwenye hizi filamu na miepsode isiyotija
4. wanafunzi kujihusisha na mapenzi
5.kuongezeka kwa mayatima walio na baba na mama yaani wazazi wako hai lakini role yao ni zero katika malezi kazi yao ni kuwapa chakula tu, eti baba anakaa na mwanaye anatazama ze comedi

Some how im with u
 
Hakuna hiyo kitu , either hiyo mitihani ni chini ya 'Standards' zinazotakiwa au ,
unatuhadaa ili kuondoa lawama kwa wanafunzi ambao baadhi yao wamejitakia,
Halafu NECTA haifelishi mwanafunzi yeyote...

Ukisema necta haifelishi mtu unakosea maana kuna mtu ambae ninamfahamu alisoma HGL matokeo yake yakatoka na majibu ya EGM ana four na baada ya kufuatilia sana akapewa ya HGL ambayo nayo hayakuwa mazuri
 
Jamani shule za Advance ni chache sasa tukishinda wote tutaenda wapi.Kuchagulia kushinda na kwenda Advance ni bahati ya mtu ndo kilichobaki.
 
mie nafikiri kama mithihani ya shuleni anafaulu halafu wa mwisho anafail,kuna mawili either mithihani ya mashuleni inakuwa mirahisi sana au mithihani wanayoifanya huko mashuleni inakuwa inajirudia rudia so watoto wanakariri njinsi ya kusolve na sio kujua njinsi ya kufanya,hakuna hujuma,je wanaofaulu kiati ya hao wachache wanafanyaje?
 
Habari zenu wakuu,imekua ni jambo la ajabu sana kua unaweza kuona baadhi ya wanafunzi huwa wanafaulu karibu mihula yote wanayokuaga darasani na vidato mbali mbali lakini inakuaga vigumu sana wanafunzi hawa kufaulu form4 au form6 hata kama wanaakili au hufaulu kwa wastani basi wakifika form4 au form6 unakuta wanapata division4 au zero kabisa,wakati mitiani mingine yakuwapima unakuta wanaweza pata division1 au division2.Swali linakuja,Je inawezekana kweli mwanafunzi awe anafaulu hiyo mihula minginge lakini akifika finals za form4 au form6 anafeli kabisa kama hana akili?au kuna hujumu flani inafanyika na watendaji wa serikali dhidi ya wanafunzi?je kwanini kama ni kweli hawa watendaji wa serikali wanaodili na mitihani ya hawa wanafunzi huwa wanawafanyia hujuma wanafunzi na kuwafelisha mitihani hii ya form4 au form6?inawezekana kuwa ni kwasababu serikali inajaribu kupunguza idadi ya wanafunzi wanaofaulu ili kukwepa kuongezeka kwa garama wanazotumia kuwapa wanafunzi walofaulu kama hawa wanafunzi wa vyuo ambao kutwa hata wao zile ela wanazopewa haziwatoshelezi na kila siku wanaleta migomo vyuoni.Tukiangalia kwa upana zaidi tunaona kwenye upande wa elimu serikali haijatilia mkazo katika swala la elimu,imekua haionyeshi jitihada kujitahidi wananchi wetu watanzania kuondokana na ujinga through education,lakini insted tumeshuhudia serikali yetu ikikandamiza sekta ya elimu bila kuisaidia kama inavyotakiwa kwa kujenga majengo mazuri yaa shule,kutoa vifaa na maabara ya kiwango cha juu shule ziwe na vifaa vyakutosha kukidhi na kua katika viwango vinavyoitajika.Je nitakua nakosea kusema serikali inafanya ivi makusudi ili tubaki kuwa wajinga na tusiendelee kujua lolote linaloendelea nchini kwa kutunyima taaluma ya msingi ya elimu?wanataka tubaki kuwa wajinga kila wasemalo tuone sawa kwakua hatujasoma?je mamilioni ya pesa wanayotumia unnecessarly kwa mapati yao na kadhalika,leo hii wangetumia hizo fedha kwa kujenga shule si tungekua na shule nyingi na karibu ya 80% wangekua wamefuta ujinga na wamesoma.Hii ni wazi serikali inapenda tuzidi kuwa wajinga na kutu discourage tujione wajinga hatuna akili,ndo maana wengi wanaofeli hata form4 au form6 wanaishia mtaani kama wazee wao hawana uwezo..Nawashilisha hoja,tuchanganue jamani ningependa kujua zaidi pia nanyi wenye michango yenu

sina hakika kama upo sahihi zaidi ya kukushauri usitegemee sana akili yako hasa ukuzingatia hoja yako haiwezi kuwa na majibu rahisi hivyo kama ya politicians wetu
 
Back
Top Bottom