Kwanini Wakristo na Serikali hawataki Kipengele cha Dini kuingizwa ktk Sensa?

Status
Not open for further replies.
wanabodi wenzangu.

Kwanini serekali na makanisa yanapinga Kipengele cha dini ktk sensa ?
Hivi kweli linaweza likaigawa Taifa?

nasikia kila mwaka serekali inatoa fedha kwa ajili ya dini ya kikiristo kuendesha miradi yao kama Hospitali, shule na Hoduma za maji kwa ajili ya waumini wakiristo waliopo tz.

Mfano hai wa hili ni ule mkataba wa mwaka 1992 ujulikanao kama; “Memorandum of Understanding between Christian Council of Tanzania and Tanzania Episcopal Conference and the United Republic of Tanzania (MoU)”.

“Sisi tuliotia saini katika MKATABA HUU WA MARIDHIANO; ambao ni Makanisa chini ya Baraza la Kikristo Tanzania (CCT) na Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) (ambao hapa watajulikana kama “Makanisa”) kwa upande mmoja na Serikali ya Muungano wa Tanzania (ambayo katika mkataba huu itajulikana kama “Serikali”)… kwa ajili ya Serikali na Makanisa katika kuendeleza sekta ya huduma za jamii, kwa lengo la kupata fedha, kuratibu, kuwezesha, kuboresha, kupanua na kukarabati huduma hizi kwa ajili ya manufaa ya wananchi wa Tanzania”.
Jee hii nayo sio ubaguzi na kuligawa taifa?Kweli kanisa litakubali kutumia pesa kwa ajili ya maendeleo ya waislam?
Endapo waislam watasema hii inatosha na inatosha na serekali istishe fedha za umma kugaiwa dini moja. jee amani itakuwepo?
Au umoja na mshikamano huwa kwa dini moja kumzidi dini nyegine kwa matumizi ya fedha za serekali yetu?
sasa kama serekali itoa pesa kwa ajili ya kanisa kwenye mashule yao. hizi peesa za bajeti ya Wizara ya Elimu na wizra ya afya inafanyiwa nini? Hivi kweli kanisa litakuwa na moyo kutoa pesa wanazopewa na serekali kutoa hoduma za kwa jamii ya kiislam? Mifano midogo tu hapa tunaiona linapokuja swala la msingi makanisa yanapinga. yatakubali kutoa fedha kwa ajili ya maendeleo. AU TUNAPIGWA CHANGA LA MACHO?
BASIC SOCIAL NEEDS NI WAJIBU WASERIKARI,TAASISI ZA DINI ZIKIFANYA HUDUMA KAMA HOSPITALI,NI WAZI NI UTUME,LAKINI LENGO LAO SI KUPATA FAIDA.KWA HIYO SERIKARI KUTOA RUZUKU NI SAWA,KWA VILE HOSPITALI HIZI ZINATIBU WATU WOTE,PAMOJA NA MKE WAKO MAMA YAKO MZAZI,NA BABA YAKO PIA KAMA WAPO KARIBU NA MAZINGIRA KARIBU NA HOSPITALI HIZI,MFANO KAMA
  1. HOSPITALI YA MISSION YA NDANDA MTWARA NA YA MISSION YA NYANGAO ZINAFANYA KAZI YA KUHUDUMIA WATU WOTE BILA UBAGUZI.
  2. OSPITALI YA pERAMIHO YA MISSION NI TEGEMEO KATIKA MKOA WA RUVUMA NA HATA WENGINE TOKA NJE YA MKOA HUO NAYO YATOA HUDUMA KWA WATU WOTE,HIVYO BASI IKIWA ZINAPATA RUZUKU YA SERIKARI BASI WAISLAM NAO WANANUFAIKA.
USHAAURI WANGU KWAKO ACHA UJINGA NA CHUKI ZA KIDINI.WAKATOLIKI MFANO LEO WANAJUA IDADI YAO KUPITIA NGAZI ZA MTAA PASIPO MSAADA WA SERIKARI,HIVYO BASI KAMA WAISLAM WANATAKA KUJUA HESABU YAO NI LAZIMA KUTUMIA VIONGOZI WAO WA DINI NA SIO KUIDAI SERIKARI IFANYE KWA MASLAHI YENU.CHUKI YA UDINI HAITATUFIKISHA POPOTE ZAIDI YA BLOODSHED,TAFADHALI USIWE SEHEMU YA MCHANGO WA BLOODSHED.
NAWASILISHA
UKANA SHILUNGO.
 
hii thread ni aina ya vichochezi vya ugomvi maana kila mchangiaji ukiacha yule ambaye kwa kweli hana dini,ataipendelea dini yake.
Juu ya yote kuna jitihada za chama tawala kuwatumia waislamu kujipatia uhalali wa kuendelea kutunyonya na kuwagawa watanzania ili wasijadili mustakabali wa taifa hili.yaani hapa tukijizamisha kwenye upuuzi wa kuweka dini idadi ya wake,kabila,nk kwenye sensa, wao wanalipana pesa kwa kumpitia dowans waliyekwisha kusema hawamjui,ama wanaingia benki kuu ama wanauza wanyama pori kama hawana akili nzuri.shauri yenu
hapa ni fact zaidi kuliko kpendelea upande flan.
 
wanabodi wenzangu.

Kwanini serekali na makanisa yanapinga Kipengele cha dini ktk sensa ?
Hivi kweli linaweza likaigawa Taifa?

nasikia kila mwaka serekali inatoa fedha kwa ajili ya dini ya kikiristo kuendesha miradi yao kama Hospitali, shule na Hoduma za maji kwa ajili ya waumini wakiristo waliopo tz.

Mfano hai wa hili ni ule mkataba wa mwaka 1992 ujulikanao kama; “Memorandum of Understanding between Christian Council of Tanzania and Tanzania Episcopal Conference and the United Republic of Tanzania (MoU)”.

“Sisi tuliotia saini katika MKATABA HUU WA MARIDHIANO; ambao ni Makanisa chini ya Baraza la Kikristo Tanzania (CCT) na Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) (ambao hapa watajulikana kama “Makanisa”) kwa upande mmoja na Serikali ya Muungano wa Tanzania (ambayo katika mkataba huu itajulikana kama “Serikali”)… kwa ajili ya Serikali na Makanisa katika kuendeleza sekta ya huduma za jamii, kwa lengo la kupata fedha, kuratibu, kuwezesha, kuboresha, kupanua na kukarabati huduma hizi kwa ajili ya manufaa ya wananchi wa Tanzania”.
Jee hii nayo sio ubaguzi na kuligawa taifa?Kweli kanisa litakubali kutumia pesa kwa ajili ya maendeleo ya waislam?
Endapo waislam watasema hii inatosha na inatosha na serekali istishe fedha za umma kugaiwa dini moja. jee amani itakuwepo?
Au umoja na mshikamano huwa kwa dini moja kumzidi dini nyegine kwa matumizi ya fedha za serekali yetu?
sasa kama serekali itoa pesa kwa ajili ya kanisa kwenye mashule yao. hizi peesa za bajeti ya Wizara ya Elimu na wizra ya afya inafanyiwa nini? Hivi kweli kanisa litakuwa na moyo kutoa pesa wanazopewa na serekali kutoa hoduma za kwa jamii ya kiislam? Mifano midogo tu hapa tunaiona linapokuja swala la msingi makanisa yanapinga. yatakubali kutoa fedha kwa ajili ya maendeleo. AU TUNAPIGWA CHANGA LA MACHO?

Kumbe we ni mdini, duh!
 
Mi ningekuona una maana kama ungegoma kupokea huduma na si kutukana na kudharau

Ukweli ni kuwa mtu yeyote anayelalamikia UBAGUZI ujue naye ni mbaguzi wa kwanza hana tofauti na hitler

Jambo muhimu ni kuwa waislamu waandike proposal waitume Iran ili wajenge, kwani hizo hospital zimejengwa na sadaka za wakristo au pesa za serikali za huko, hakuna ubaya kama waislamu wakifanya hivyo.

Don't complain anzisha kitu, tatizo la asiyekuwa na mawazo chanya anaishia kulalamika tu.

Mkimaliza kulalamika sekta mtahamia kwa watendaji as if watendaji wote ni wakristo na mkimaliza mtataka sensa ya watendaji.

Njoo na kitu kipyaa, ukiona wakristo wamenyamaza ujue wanafikiria maendeleo sio kulalamika.
 
unaongelea dini hii iliyoanzishwa pale paulo alipotundikwa msalaban na wayahud wakidhani nabii issa(yesu wa ukweli)wakapigwa changa la macho na maana mpaka leo alama ya dini yao ni njia panda yaani hawajui waelekee wapi,huwezi fananisha na dini ya haki ya mwenyezi mungu yenye alama ya nyota na mwezi ikimaanisha dini iliyoumbwa kabla ya mwanaadamu(kumbuka mwenyezi mungu aliumba dunia na vyote vilivyomo kabla ya binaadamu)
wake
nampenda mungu yesu..amewaanda watu wake wawe vichwa na wala sio miguu....kanisa halijui lielekee wapi?
 
Its true stor ukoo wetu umegawanyika wengne wakristo wengne waislam mjomba wangu ni muislam sasa tukamshaur mwanae ampeleke tution yeye anang'ang'ania kumpeleka madrasa form foum dogo kapata zero anko anatoa mimacho wakati wenzie tunapeta
 
wanabodi wenzangu.

Kwanini serekali na makanisa yanapinga Kipengele cha dini ktk sensa ?
Hivi kweli linaweza likaigawa Taifa?

nasikia kila mwaka serekali inatoa fedha kwa ajili ya dini ya kikiristo kuendesha miradi yao kama Hospitali, shule na Hoduma za maji kwa ajili ya waumini wakiristo waliopo tz.

Mfano hai wa hili ni ule mkataba wa mwaka 1992 ujulikanao kama; “Memorandum of Understanding between Christian Council of Tanzania and Tanzania Episcopal Conference and the United Republic of Tanzania (MoU)”.

“Sisi tuliotia saini katika MKATABA HUU WA MARIDHIANO; ambao ni Makanisa chini ya Baraza la Kikristo Tanzania (CCT) na Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) (ambao hapa watajulikana kama “Makanisa”) kwa upande mmoja na Serikali ya Muungano wa Tanzania (ambayo katika mkataba huu itajulikana kama “Serikali”)… kwa ajili ya Serikali na Makanisa katika kuendeleza sekta ya huduma za jamii, kwa lengo la kupata fedha, kuratibu, kuwezesha, kuboresha, kupanua na kukarabati huduma hizi kwa ajili ya manufaa ya wananchi wa Tanzania”.
Jee hii nayo sio ubaguzi na kuligawa taifa?Kweli kanisa litakubali kutumia pesa kwa ajili ya maendeleo ya waislam?
Endapo waislam watasema hii inatosha na inatosha na serekali istishe fedha za umma kugaiwa dini moja. jee amani itakuwepo?
Au umoja na mshikamano huwa kwa dini moja kumzidi dini nyegine kwa matumizi ya fedha za serekali yetu?
sasa kama serekali itoa pesa kwa ajili ya kanisa kwenye mashule yao. hizi peesa za bajeti ya Wizara ya Elimu na wizra ya afya inafanyiwa nini? Hivi kweli kanisa litakuwa na moyo kutoa pesa wanazopewa na serekali kutoa hoduma za kwa jamii ya kiislam? Mifano midogo tu hapa tunaiona linapokuja swala la msingi makanisa yanapinga. yatakubali kutoa fedha kwa ajili ya maendeleo. AU TUNAPIGWA CHANGA LA MACHO?

Dogo, tumia bongo kuandika humu.. kwani hizo hospitali ambazo serikali inatoa huduma, waislamu hatibiwi huko? kwa mafano KCMC, BUGANDO, n.k..waislamu hawaendi huko! tena kumbuka serikali inagharimia kuwalipa madaktari na baadhi ya madawa, lakini ishu nyingine kanisa linafanya kwa nia njema, ya kuwasaidia waote. Hili la sensa, toa mfano wa kiongozi yeyote wa dini ya kikristo aliyepinga ishu ya dini kuwepo kwenye madodoso ya sensa..sio kuongea bila facts..Huna tofauti na Mwigulu Nchemba
 
wanabodi wenzangu.

Kwanini serekali na makanisa yanapinga Kipengele cha dini ktk sensa ?
Hivi kweli linaweza likaigawa Taifa?

nasikia kila mwaka serekali inatoa fedha kwa ajili ya dini ya kikiristo kuendesha miradi yao kama Hospitali, shule na Hoduma za maji kwa ajili ya waumini wakiristo waliopo tz.

Mfano hai wa hili ni ule mkataba wa mwaka 1992 ujulikanao kama; “Memorandum of Understanding between Christian Council of Tanzania and Tanzania Episcopal Conference and the United Republic of Tanzania (MoU)”.

“Sisi tuliotia saini katika MKATABA HUU WA MARIDHIANO; ambao ni Makanisa chini ya Baraza la Kikristo Tanzania (CCT) na Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) (ambao hapa watajulikana kama “Makanisa”) kwa upande mmoja na Serikali ya Muungano wa Tanzania (ambayo katika mkataba huu itajulikana kama “Serikali”)… kwa ajili ya Serikali na Makanisa katika kuendeleza sekta ya huduma za jamii, kwa lengo la kupata fedha, kuratibu, kuwezesha, kuboresha, kupanua na kukarabati huduma hizi kwa ajili ya manufaa ya wananchi wa Tanzania”.
Jee hii nayo sio ubaguzi na kuligawa taifa?Kweli kanisa litakubali kutumia pesa kwa ajili ya maendeleo ya waislam?
Endapo waislam watasema hii inatosha na inatosha na serekali istishe fedha za umma kugaiwa dini moja. jee amani itakuwepo?
Au umoja na mshikamano huwa kwa dini moja kumzidi dini nyegine kwa matumizi ya fedha za serekali yetu?
sasa kama serekali itoa pesa kwa ajili ya kanisa kwenye mashule yao. hizi peesa za bajeti ya Wizara ya Elimu na wizra ya afya inafanyiwa nini? Hivi kweli kanisa litakuwa na moyo kutoa pesa wanazopewa na serekali kutoa hoduma za kwa jamii ya kiislam? Mifano midogo tu hapa tunaiona linapokuja swala la msingi makanisa yanapinga. yatakubali kutoa fedha kwa ajili ya maendeleo. AU TUNAPIGWA CHANGA LA MACHO?

unaelewa unachoandika au unaandika ili kuoneka na ww unajua kuandika. Toa huu upuzi wako usio na kichwa wala mguu. Kaa chini ujifunze sio unakurupuka tu.
 
BASIC SOCIAL NEEDS NI WAJIBU WASERIKARI,TAASISI ZA DINI ZIKIFANYA HUDUMA KAMA HOSPITALI,NI WAZI NI UTUME,LAKINI LENGO LAO SI KUPATA FAIDA.KWA HIYO SERIKARI KUTOA RUZUKU NI SAWA,KWA VILE HOSPITALI HIZI ZINATIBU WATU WOTE,PAMOJA NA MKE WAKO MAMA YAKO MZAZI,NA BABA YAKO PIA KAMA WAPO KARIBU NA MAZINGIRA KARIBU NA HOSPITALI HIZI,MFANO KAMA
  1. HOSPITALI YA MISSION YA NDANDA MTWARA NA YA MISSION YA NYANGAO ZINAFANYA KAZI YA KUHUDUMIA WATU WOTE BILA UBAGUZI.
  2. OSPITALI YA pERAMIHO YA MISSION NI TEGEMEO KATIKA MKOA WA RUVUMA NA HATA WENGINE TOKA NJE YA MKOA HUO NAYO YATOA HUDUMA KWA WATU WOTE,HIVYO BASI IKIWA ZINAPATA RUZUKU YA SERIKARI BASI WAISLAM NAO WANANUFAIKA.
USHAAURI WANGU KWAKO ACHA UJINGA NA CHUKI ZA KIDINI.WAKATOLIKI MFANO LEO WANAJUA IDADI YAO KUPITIA NGAZI ZA MTAA PASIPO MSAADA WA SERIKARI,HIVYO BASI KAMA WAISLAM WANATAKA KUJUA HESABU YAO NI LAZIMA KUTUMIA VIONGOZI WAO WA DINI NA SIO KUIDAI SERIKARI IFANYE KWA MASLAHI YENU.CHUKI YA UDINI HAITATUFIKISHA POPOTE ZAIDI YA BLOODSHED,TAFADHALI USIWE SEHEMU YA MCHANGO WA BLOODSHED.
NAWASILISHA
UKANA SHILUNGO.

yeye mwenyewe anatibia wapi? Kichwa maji mkubwa!
 
unaongelea dini hii iliyoanzishwa pale paulo alipotundikwa msalaban na wayahud wakidhani nabii issa(yesu wa ukweli)wakapigwa changa la macho na maana mpaka leo alama ya dini yao ni njia panda yaani hawajui waelekee wapi,huwezi fananisha na dini ya haki ya mwenyezi mungu yenye alama ya nyota na mwezi ikimaanisha dini iliyoumbwa kabla ya mwanaadamu(kumbuka mwenyezi mungu aliumba dunia na vyote vilivyomo kabla ya binaadamu)

unaelewa maana ya nyota na mwezi? Usiwe unapenda kukurupuka soma vizuri ukikosa maana niambie nitajuza. Yesu ni njia ya kweli.
 
Mkuu thread yako ni nzuri

kipengele cha dini kinakuwepo ktk allmost kila sensa ya nchi duniani, Tatizo la wakiristo hawataki watu wajue ukweli kuwa wao ni idadi chache hapa nchini kulingana na waislam, ukweli ukijulikana wanamini kabisa waislam watadai uwiano katika kila sehemu ya utendaji ambao wao wakiristo wamejazana

Chakujiuliza hapa je wataficha ukweli mpaka lini ????? ilihali dunia sasa imebadilika ????

Serikali imekataa takwimu ya wakatoliki na imekataa takwimu iliyofanya na chombo chengine chochote, Je ni Nchi gani hii isiyokuwa na takwimu ?????

Wakae wakijua kuficha ukweli sio kutibu,

pumba na uzembe wa kufikiri ndio umekujaa, inawezekana hata takwimu hujui. Ila sikushangai hl ndilo tatizo lenu. Hampendi kufanyautafiti lakini mnapenda kutoa majibu .
 
hata mimi nashangaa. Hawa watu akili zao zimekaa tenge. Wamejazana bugando,kcmc, tumaini,sauti nk aafu wanajidai hawaoni faida za mou. Tatizo wengi wanaoongea wapo temeke,mwananyamala,amana na muhimbili. Hawajui shida za ilembula, ikonda, namtumbo,ifakara ambako hospitali za serikali hazipo. Hizi ni dalili za mtindio wa ubongo wa ukubwani,mtu uliyekawaida huwezi kulinganisha huduma inayomuathiri mtu mmoja na inayoiathiri jamii nzima. Mahakama ya kadhi siyo sawa na shule,hospitali au chuo! Hizo fedha hazitumiki kuendesha makanisa,zinaendesha huduma zinazoathiri watu wote.

na kama kwel hawataki wasiende huko. Waache unafiki wakati wao ndio wanaleta msongamano huko!
 
Ndio nyie ?? Fungua Dictionary ya kila nchi unayotaka wewe duniani utaona Dini ni kati ya Profile ya Nchi, baadae unijibu Tanzania kwenye profile ya takwimu ya dini watajaza nini ??? ile takwimu ya kikatoliki ???

ujinga mtupu!
 
UTANGULIZI
ikumbukwe kuwa serikali ni baba na mama yetu sote. serikali ilikua (na hadi leo) inamiliki hospitali, zahanati na vituo vya afya. la kushangaza serikali imeamua kudhoofisha vituo vyake vya afya na kuimarisha vya taasisi za kikristo.


KWA NINI IMEFANYA HIVYO
ni kutokana na nguvu pamoja na shinikizo ya makanisa. serikali ina watoto wawili. inamuwezesha mtoto mmoja na kumuambia mwengine kuwa utakua unakula kwa ndugu yako. hii hali itamfanya huyu aendelee kuwa tegemezi. isitoshe, madawa na vifaa vya hospitalini vinasamehewa kodi huku ruzuku ikiongeza kwenye hizo hospitali! kwa hali hii, hatushangai kuona vyuo vikuu vya wakristo vinaongezeka! ni mtoto anaependelewa na baba. huu ndiyo ukweli uliopo.

huna ulijuwalo baki na ujinga wako hvyo hvyo!
 
wanabodi wenzangu.

Kwanini serekali na makanisa yanapinga Kipengele cha dini ktk sensa ?
Hivi kweli linaweza likaigawa Taifa?

nasikia kila mwaka serekali inatoa fedha kwa ajili ya dini ya kikiristo kuendesha miradi yao kama Hospitali, shule na Hoduma za maji kwa ajili ya waumini wakiristo waliopo tz.

Mfano hai wa hili ni ule mkataba wa mwaka 1992 ujulikanao kama; “Memorandum of Understanding between Christian Council of Tanzania and Tanzania Episcopal Conference and the United Republic of Tanzania (MoU)”.

“Sisi tuliotia saini katika MKATABA HUU WA MARIDHIANO; ambao ni Makanisa chini ya Baraza la Kikristo Tanzania (CCT) na Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) (ambao hapa watajulikana kama “Makanisa”) kwa upande mmoja na Serikali ya Muungano wa Tanzania (ambayo katika mkataba huu itajulikana kama “Serikali”)… kwa ajili ya Serikali na Makanisa katika kuendeleza sekta ya huduma za jamii, kwa lengo la kupata fedha, kuratibu, kuwezesha, kuboresha, kupanua na kukarabati huduma hizi kwa ajili ya manufaa ya wananchi wa Tanzania”.
Jee hii nayo sio ubaguzi na kuligawa taifa?Kweli kanisa litakubali kutumia pesa kwa ajili ya maendeleo ya waislam?
Endapo waislam watasema hii inatosha na inatosha na serekali istishe fedha za umma kugaiwa dini moja. jee amani itakuwepo?
Au umoja na mshikamano huwa kwa dini moja kumzidi dini nyegine kwa matumizi ya fedha za serekali yetu?
sasa kama serekali itoa pesa kwa ajili ya kanisa kwenye mashule yao. hizi peesa za bajeti ya Wizara ya Elimu na wizra ya afya inafanyiwa nini? Hivi kweli kanisa litakuwa na moyo kutoa pesa wanazopewa na serekali kutoa hoduma za kwa jamii ya kiislam? Mifano midogo tu hapa tunaiona linapokuja swala la msingi makanisa yanapinga. yatakubali kutoa fedha kwa ajili ya maendeleo. AU TUNAPIGWA CHANGA LA MACHO?

Hivi ndugu waislam nani katulaani ? Yaani tuna acha kusimamia mambo ya maana tunataka shari.Sisi waislam Dunia nzima tumekuwa kituko .Tuna madai lukuki ambayo hata kwenye uislam kwenyewe hakuna .Hebu tuacheni ujinga ni muda sasa wa kuendelea .Wenzetu wakristo tunawapigia kelele wao wanafanya ya kuonekana .Siye madai ya kijinga na fitina .Hivi Uislam ni laana ?Kama ni laana basi mie najitoa kabisa maana ni aibu hii hata kuitwa muislam kwa ujinga huu .
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom