Red Giant
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 15,658
- 20,886
zamani nilikuwa siioni kenya kama reference country lakini siku hizi nabadili mtazamo, kwa mfano
1.kenya ina ardhi ndogo lakini wana viwanda zaidi ya saba vya sukari nakulima zaidi ya hekta laki moja wakati tanzania viwanda vinne na na havifikishi hata hekta elfu hamsini
2.kenya kwenye umeme wana geothermal, wana wind farm wakati sisi tuna hydro power potential ya kutosha na hatafanyi chochote achilia mbali geothermal and wind power
3.wanatuzidi GDP wakati tunawazidi ardhi, natural resources na watu
kuna mifano mingi tu, watz wengi tunalalamikia viongozi lakini najiuliza
kwani wakenya wanapewa mitaji na viongozi wao?, kwani viongozi watanzania wana kataza mtu kuwekeza kwenye umeme au kilimo kikubwa? au watanzania hatuna entrepreneurial skills? au hatuna mitaji?
hebu tujadili hili na wakenya mtusaidie.
1.kenya ina ardhi ndogo lakini wana viwanda zaidi ya saba vya sukari nakulima zaidi ya hekta laki moja wakati tanzania viwanda vinne na na havifikishi hata hekta elfu hamsini
2.kenya kwenye umeme wana geothermal, wana wind farm wakati sisi tuna hydro power potential ya kutosha na hatafanyi chochote achilia mbali geothermal and wind power
3.wanatuzidi GDP wakati tunawazidi ardhi, natural resources na watu
kuna mifano mingi tu, watz wengi tunalalamikia viongozi lakini najiuliza
kwani wakenya wanapewa mitaji na viongozi wao?, kwani viongozi watanzania wana kataza mtu kuwekeza kwenye umeme au kilimo kikubwa? au watanzania hatuna entrepreneurial skills? au hatuna mitaji?
hebu tujadili hili na wakenya mtusaidie.