Fisherscom
JF-Expert Member
- Mar 13, 2008
- 1,763
- 764
Hilo ndilo kundi linalo ongoza kwa kuwa na maambukizi ya virusi vya UKIMWI. Wanaume wengi wanadhani kila mvaa pete ya ndoa ni mke wa mtu na kujipa moyo kwamba yuko ndani ya ndoa na hatokuwa na virusi/ukimwi. Pia wengine wanakimbilia huko kwa kutegemea unafuu wa kumgharamia kwamba kila kitu anapewa na mumewe. Baadhi ya kina dada wanaojiuza wamebuni huo mtindo baada ya kuona soko kubwa limemilikiwa na wake za watu. Upeo wangu ni huo sijui wadau wengine wanalionaje hili suala.