Kwanini wajivalishe pete za ndoa na uchumba

Hilo ndilo kundi linalo ongoza kwa kuwa na maambukizi ya virusi vya UKIMWI. Wanaume wengi wanadhani kila mvaa pete ya ndoa ni mke wa mtu na kujipa moyo kwamba yuko ndani ya ndoa na hatokuwa na virusi/ukimwi. Pia wengine wanakimbilia huko kwa kutegemea unafuu wa kumgharamia kwamba kila kitu anapewa na mumewe. Baadhi ya kina dada wanaojiuza wamebuni huo mtindo baada ya kuona soko kubwa limemilikiwa na wake za watu. Upeo wangu ni huo sijui wadau wengine wanalionaje hili suala.
 
Wengine wanavaa kama part ya accessory tu, no meaning. Wengine ni identity crisis, na wale walioahidiwa ndoa hewa, na wachumba walioenda kusoma ulaya.

Advise be a person of your own identity, be single and be proud of that! Kama Mungu hajasema ndio hauwezi hata siku moja kulazimisha.

You will buy the most expensive ring but its urself u are fooling....
 
wengine wanajivalisha ili kuwaringishia mashoga zao kuwa na wao wameingejiwa,ila ni upuuzi usio na kifani,ila zinasaidia,kuna kipindi nilikuwa navaa pete inayofanana na ya uchumba sio siri ilinipunguzia kero,japo kuna vichwa ngumu wanaojifanya hawaioni!
 
Cha msingi hapa ni kuwa kila avaae pete si lazima awe mke au mchumba wa mtu, na kwa taarifa yako wapo wake na wachumba za watu kibao hawana pete.
 
Hilo ndilo kundi linalo ongoza kwa kuwa na maambukizi ya virusi vya UKIMWI. Wanaume wengi wanadhani kila mvaa pete ya ndoa ni mke wa mtu na kujipa moyo kwamba yuko ndani ya ndoa na hatokuwa na virusi/ukimwi. Pia wengine wanakimbilia huko kwa kutegemea unafuu wa kumgharamia kwamba kila kitu anapewa na mumewe. Baadhi ya kina dada wanaojiuza wamebuni huo mtindo baada ya kuona soko kubwa limemilikiwa na wake za watu. Upeo wangu ni huo sijui wadau wengine wanalionaje hili suala.

naunga hoya ya kukimbilia kutegemea unafuu wa gharama akijua ni mke wa mtu :D:D
 
Cha msingi hapa ni kuwa kila avaae pete si lazima awe mke au mchumba wa mtu, na kwa taarifa yako wapo wake na wachumba za watu kibao hawana pete.

nakubaliana na ww mama na baba yangu sikuwaona na pete za ndoa wa uchumba
 
wengine wanajivalisha ili kuwaringishia mashoga zao kuwa na wao wameingejiwa,ila ni upuuzi usio na kifani,ila zinasaidia,kuna kipindi nilikuwa navaa pete inayofanana na ya uchumba sio siri ilinipunguzia kero,japo kuna vichwa ngumu wanaojifanya hawaioni!

mh asant kwa taarifa ila akuna uongo mbaya kama mtu kujidanganya mwenyewe shame to to them
 
Wengine wanavaa kama part ya accessory tu, no meaning. Wengine ni identity crisis, na wale walioahidiwa ndoa hewa, na wachumba walioenda kusoma ulaya.

Advise be a person of your own identity, be single and be proud of that! Kama Mungu hajasema ndio hauwezi hata siku moja kulazimisha.

You will buy the most expensive ring but its urself u are fooling....

nakubaliana na ww no comment if god say no no body can say yes utavaa hizo pete mwisho utakuwa jamvi la wageni
 
Dhambi kubwa sana kudanganya status 'feki'
Eti uonekane umeolewa kumbe siyo,
Utapewa mwanaume ambaye ni mtata hivyohivyo,
Kipimo upimacho ndicho utakachopimiwa na ufalme wa Mbinguni sababu umedanganya hapo,
Ukitangaza kupitia hizi mipete ya uchumba/ndoa wakati wala hata huko hujafika utapewa yule ambaye tayari ameshaoa mke/wake kadhaa au mwenye mikosi kadhaa.
Acheni hizo ishi kama mlivyo sawasawa na macho ya Mungu,kama hujachumbiwa ishi kama vile hujachumbiwa,kama hujaolewa ishi kama hujaolewa sawasawa na Mungu alivyokuweka wewe katika maisha yako!
Kazi njema!

yani hapo inakuwa ngoma droo mchumba feki na unapata mwanaume feki duh
 
Wanajua wanaume siku hizi wanapenda sana kutongoza wake za watu kuliko ma sista duu.


so masista duu awanamarketi now day ila ndo hivyo ukiwautaki sista duu utajikuta umempata baada ya yy kuvaa pete
 
Habari ndio hiyo.

Zaidi, hata wasichana siku hizi hawataki kuolewa. Wanawinda wanaume walioa, wawajengee nyumba na kuwanunulia magari. Wanapendelea wanaume waliooa kwa sababu wanajiheshimu, wako busy na familia. Hii inawafanya wasichana kupata muda free kujirusha na kufanya mambo ya maendeleo independently kuliko kuolewa ambapo ina kuwa kana unalea JIPU LA KWAPA.

Ya nini kuolewa?

wanapenda wanaume walo oa wanakwambia awana usumbufu wala awakubani sana kwani na yy ana mke wake so akikubana sana na yy mke wake anambana yani raha tu unachuna kwa kwenda mbele
 
Back
Top Bottom