King’asti
Platinum Member
- Nov 26, 2009
- 27,823
- 24,781
Eeeh!
:what:
:what:
Mkuu Idimi Waislam wa huko Uswahilini ndio wanaoleta fujo kutokana wengi wao hao Waislam
hawakuenda shule watoto wa Masikini walala hoi Umasikini ndio chanzo kikubwa cha hao watoto wa Kiislam
wa Uswahilini kufanya fujo zisizokuwa na msingi wowote si unajuwa Matatizo ya ajira nchi mwetu. Tofauti na
Waislam wa kutokea Sehemu Masaki,mbezi beach,Oysterbay ni Sehemu za watu Matajiri kuna waislam Matajiri
na watoto waliosoma Kielimu ya Dini na Dunia sio rahisi kufanya mambo hayo ya fujo Mkuu.Usifananishe Sehjemu za
uzunguni na sehemu za Uswahilini hapo Dar ni Tofauti kabisa mji mmoja lakini kila sehemu ina daraja yake.
Mkuu Idimi Nimeshakuambia wale Waislam waliochoma Makanisa ni watoto wa mitaani Wahuni na walala hoi wazaziMkuu MziziMkavu, kwa hao wa Mbagala na Temeke tuchukulie hawajasoma, sawa, wasiosoma wapo mpaka mikoani pia. Iwapo kitabu kilichonajisiwa kinamhusu kila Muislamu, mbona wale wa mikoani hawaja andamana? Hili nalo linataka jibu! Au hawa wa Mbagala ni Waislamu zaidi kuliko wale wa mikoani. Tofauti iko wapi hapa?
Sasa wewe unaejua zaidi ni nani aliekusudiwa????????? Na nikuulize hivi wewe kweli ni Muislamu au ndio Muislamu kama mashehe wa BAKWATA?
Ndio hakuna Urafiki utaokuwepo baina ya Kafiri na Muislamuuuuuuuuuuuuu mbona bichwa gumu weweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
HADHI YA YESU
Je wale Waislamu waliokuwa kwenye jopo la wazungumzaji, walikuwa wakijaribu kukonga nyoyo za watazamaji wa Televisheni kinyume na
sera au kwa kutumiya uwongo au kwa kutumiya diplomasiya? La hasha! Hapakuwa na kitu cha namna hiyo. Waislamu hao walikuwa
wakiyasema yale ambayo MwenyeziMungu, katika Qur'an, amewaamrisha kuyasema. Haikuwa hiyari yao bali walilazimika kusema kwa
kutumiya maneno mengi tu kuwa- "Sisi Waislamu tunaamini kuwa Yesu alikuwa mmoja wa Mitume wakubwa wa MwenyeziMungu,
kwamba yeye ndiye Masihi, kwamba alizaliwa kimiujiza-bila maingiliyano ya jinsiya ya kiume na ya kike ( jambo ambalo Wakristo wengi
wa leo hawaliamini), kwamba aliwafufuwa wafu kwa idhini ya Mungu, na kwamba aliwaponya vipofu na wakoma kwa idhini ya Mungu.
Kwa kweli Muislamu hawi Muislamu kama hamuwamini Yesu!"Mkuu mayanga