Kwanini wahaya wanaogopwa?

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Feb 4, 2009
74,462
154,344
Kwa wakazi wa dar es salaam,
ukienda kutafuta nyumba mwenye nyumba anakuuliza wewe ni kabila gani?
Ukisema kuwa wewe ni muhaya anakwambia hapangishi wahaya.
Ukitafuta msichana anakuuliza wewe ni kabila gani, ukisema mhaya uhusiano unafutika kama mshumaa kwenye upepo....na namba yako ya simu anaifuta.
Ukienda kuomba kazi ukisema tu kuwa wewe ni mhaya..
Au jina lako likiwa la kihaya inakuwa ngumu kwelikweli kupata kazi...(labda ushikwe mkono)
kwenye chaguzi mbalimbali ukisema kuwa wewe ni mhaya yanaanza kujengwa makundi ya kukuporomosha na kukuchafua...
Hivi ni kwanini yote haya yanawatokea wahaya tu?
 
Wewe ni muongo mie napenda sana mademu wa kihaya kwanza wana maumbo mazuri na wanaijua shughuli ya kumegana vizuri kwelikweli . Kinachowafanya kutokubalika 100% katika jamii ni majivuno na majigambo yasiyo na maana mfano ni yule muhaya wa kipindi cha ze komedi!
 
Wewe ni muongo mie napenda sana mademu wa kihaya kwanza wana maumbo mazuri na wanaijua shughuli ya kumegana vizuri kwelikweli . Kinachowafanya kutokubalika 100% katika jamii ni majivuno na majigambo yasiyo na maana mfano ni yule muhaya wa kipindi cha ze komedi!

Swala la kumegana na majivuno ni la mtu binafsi na si la kabila fulani. Kwani ni kabila gani linakubalika 100% ??

Hapa sioni hoja!!
 
Wewe ni muongo mie napenda sana mademu wa kihaya kwanza wana maumbo mazuri na wanaijua shughuli ya kumegana vizuri kwelikweli . Kinachowafanya kutokubalika 100% katika jamii ni majivuno na majigambo yasiyo na maana mfano ni yule muhaya wa kipindi cha ze komedi!


Sasa hapa umekubaliana na hoja au umeipinga? tukuweke kundi gani?
 
Bujibuji, umechemka!! Hivi huna hoja ya msingi ya kujadili mpaka uchambue makabila ya watu?
 
achana na hao watu...wanapenda sana kumega/kumegwa nnje tena bila usalama wowote...ngoma nje nje hapo...
 
Kwa wakazi wa dar es salaam,
ukienda kutafuta nyumba mwenye nyumba anakuuliza wewe ni kabila gani?
Ukisema kuwa wewe ni muhaya anakwambia hapangishi wahaya.
Ukitafuta msichana anakuuliza wewe ni kabila gani, ukisema mhaya uhusiano unafutika kama mshumaa kwenye upepo....na namba yako ya simu anaifuta.
Ukienda kuomba kazi ukisema tu kuwa wewe ni mhaya..
Au jina lako likiwa la kihaya inakuwa ngumu kwelikweli kupata kazi...(labda ushikwe mkono)
kwenye chaguzi mbalimbali ukisema kuwa wewe ni mhaya yanaanza kujengwa makundi ya kukuporomosha na kukuchafua...
Hivi ni kwanini yote haya yanawatokea wahaya tu?

Tangu umejiunga JF sijawahi kuona umetoa mawazo yanayo jenga mwananchi ila unaweka porojo ambazo huwa maranyingi ni za kuongelea kilabuni.
 
Kwa wakazi wa dar es salaam,
ukienda kutafuta nyumba mwenye nyumba anakuuliza wewe ni kabila gani?
Ukisema kuwa wewe ni muhaya anakwambia hapangishi wahaya.
Ukitafuta msichana anakuuliza wewe ni kabila gani, ukisema mhaya uhusiano unafutika kama mshumaa kwenye upepo....na namba yako ya simu anaifuta.
Ukienda kuomba kazi ukisema tu kuwa wewe ni mhaya..
Au jina lako likiwa la kihaya inakuwa ngumu kwelikweli kupata kazi...(labda ushikwe mkono)
kwenye chaguzi mbalimbali ukisema kuwa wewe ni mhaya yanaanza kujengwa makundi ya kukuporomosha na kukuchafua...
Hivi ni kwanini yote haya yanawatokea wahaya tu?

Bujibuji umenena kweli wahaya ni wabinafsi sijapata kuona hawa jamaa Nyerere aliwastukia siku nyingi.kwa upande wa ngono usiseme kitu hapo umewafikisha nyumbani unafikiri ni kwanini ukimwi ulitamalaki Bukoba ?,Ni kwasababu ya kupenda jigijigi unajua kuna kale kamchezo kao wanakaita katerero ndio kamawafanya waabudu jigijigi.

Wewe ni muongo mie napenda sana mademu wa kihaya kwanza wana maumbo mazuri na wanaijua shughuli ya kumegana vizuri kwelikweli . Kinachowafanya kutokubalika 100% katika jamii ni majivuno na majigambo yasiyo na maana mfano ni yule muhaya wa kipindi cha ze komedi!

Tangu lini Mhaya akakata jigijigi,ukikataliwa na Mhaya nenda kaoge na maji ya baharini.


Swala la kumegana na majivuno ni la mtu binafsi na si la kabila fulani. Kwani ni kabila gani linakubalika 100% ??

Hapa sioni hoja!!

Wewe inaelekea huwajui wahaya kabisa ni kabila la wapenda jigijigi hujapata kuona.


Tangu umejiunga JF sijawahi kuona umetoa mawazo yanayo jenga mwananchi ila unaweka porojo ambazo huwa maranyingi ni za kuongelea kilabuni.

Vipi mbona unakuwa mkali jibu hoja wacha kukimbilia mtu.Hakuna porojo wala nini ukweli unabaki ni ukweli wahaya wanajulikana kwa sifa ya ...................
 
Kwa wakazi wa dar es salaam,
ukienda kutafuta nyumba mwenye nyumba anakuuliza wewe ni kabila gani?
Ukisema kuwa wewe ni muhaya anakwambia hapangishi wahaya.
Ukitafuta msichana anakuuliza wewe ni kabila gani, ukisema mhaya uhusiano unafutika kama mshumaa kwenye upepo....na namba yako ya simu anaifuta.
Ukienda kuomba kazi ukisema tu kuwa wewe ni mhaya..
Au jina lako likiwa la kihaya inakuwa ngumu kwelikweli kupata kazi...(labda ushikwe mkono)
kwenye chaguzi mbalimbali ukisema kuwa wewe ni mhaya yanaanza kujengwa makundi ya kukuporomosha na kukuchafua...
Hivi ni kwanini yote haya yanawatokea wahaya tu?

Ha ha ha!! Bujibuji in fwakti watu wengi wana inferiority complex wakimuona Mhaya Buana!!
Sisi ni nshomire for real!
Nina Phd na siyo feki kama ya waziri fulani, jirani yangu wa Kakiziba naye ana Phd ya marine sciences.
Pale Kigarama kaka zangu wengi tu tunashindama kusoma.
Sisi tuna confidence na hatuheshimu mtu asiyejiamini.
IQ zetu ni excellent, tunaweza kuona loopholes zinazomaanisha pesa katika kila mkataba!We make very good lawyers and advocates.
Pale kijiji cha Kanyigo kuna wahandisi waliobobea katika fani hiyo.
Sasa nashindwa kuelewa tatizo lako maana sisi tunaweza kukaa mahali popote na mtu yeyote bila kuogopa.
Kama ulikimbia umande, then I am very soooorry!!
 
Swala la kumegana na majivuno ni la mtu binafsi na si la kabila fulani. Kwani ni kabila gani linakubalika 100% ??

Hapa sioni hoja!!

mie nafikiri kabila linalokubalika 100% hapa ni wanyiramba wale wa singida.... mie nawazimia sana wale jamaa mazee, dada zao ni wazuri na hata kaka zao ni mahandsome.
 
Nilivyoenda kuomba kazi kwa mara ya kwanza shemeji yangu alinambia 'utapata kweli? make wahaya hatupendwi'. Nilipokaribishwa nyumbani kwa demu, akanifanyia introduncement, baadae akasema eti mama yake nguvu ziliisha aliposikia mie mhaya! jamani, acheni ukabila nyinyi makabila mengine!!!!!!!!!!!!!
Sasa ukitaka kazi, kwa uhakika, mwjiri awe mgeni hasa mzungu. Hapa mhaya atawagalagaza ma candidate wengine. Lakini ikiwa shirika la kibongo, wana disregard elimu yake bora, kimombo, confidence, exposure na kumpa mtu ambaye hastahili.

Hata hivyo siwezi kusema hawapendwi, bali they are taken seriously, kwasababu wako juu kielimu na ujuzi!
 
Si wahaya wote wana matatizo lakini wale wachache wameharibu kabisa jina la kabila hili. Hao wachache ni matapeli wakubwa mijini, wanajifanya wamesoma zaidi, maisha bora na wanapenda kesi kuliko hata jamaa zangu wa kipare.

Vile vile madangulo ya kwanza kabisa Dar yalianzishwa na wahaya ''mugambire enough'' hivyo wenye nyumba bado wanafikra kuwa kale kamchezo katafanyika katika nyumba zao.
 
Kuna kina dada wa kihaya wapo hapa kazini ni Bomba mbaya hahahaha, mie sioni kama wana kasoro Kiasi cha kuwatenga, nna mshkaji wangu tuliingia naye JOB ni mhaya mbona hana matatizo?unashirikiana vizuri, Ingawa kweli wana majigambo lkn ukiwa makini hawaku affect chochote, baba yangu mdogo alioa Mhaya na waliishi vizuri tu na watoto wake wawili wa mwisho na wao wamefuata tabia za huko BKB, lkn mimi sioni kama wakiwa na mie zina ni affect
 
Wahaya mnaogopwa because you are very smart upstairs kwa wanaume and downstairs wanawake wenu. Hiyo ndiyo habari yenyewe. Mko masaa mengi mbele. Check kwenye EPA mlivyozimeza. Wazaramo na wengineo walikuwa wapi? Bado majigambo na majivuno na ushomile wee!!!!!!!!!!!
 
Kwa wakazi wa dar es salaam,
ukienda kutafuta nyumba mwenye nyumba anakuuliza wewe ni kabila gani?
Ukisema kuwa wewe ni muhaya anakwambia hapangishi wahaya.
Ukitafuta msichana anakuuliza wewe ni kabila gani, ukisema mhaya uhusiano unafutika kama mshumaa kwenye upepo....na namba yako ya simu anaifuta.
Ukienda kuomba kazi ukisema tu kuwa wewe ni mhaya..
Au jina lako likiwa la kihaya inakuwa ngumu kwelikweli kupata kazi...(labda ushikwe mkono)
kwenye chaguzi mbalimbali ukisema kuwa wewe ni mhaya yanaanza kujengwa makundi ya kukuporomosha na kukuchafua...
Hivi ni kwanini yote haya yanawatokea wahaya tu?


Kuna ukweli katika unayosema lakini sidhani kama wanaJF wako tayari kujadili hii kitu bila jazba. Come to think about it, wahaya nadhani wangewezana na wakenya, lol.
 
Ha ha ha!! Bujibuji in fwakti watu wengi wana inferiority complex wakimuona Mhaya Buana!!
Sisi ni nshomire for real!
Nina Phd na siyo feki kama ya waziri fulani, jirani yangu wa Kakiziba naye ana Phd ya marine sciences.
Pale Kigarama kaka zangu wengi tu tunashindama kusoma.
Sisi tuna confidence na hatuheshimu mtu asiyejiamini.
IQ zetu ni excellent, tunaweza kuona loopholes zinazomaanisha pesa katika kila mkataba!We make very good lawyers and advocates.
Pale kijiji cha Kanyigo kuna wahandisi waliobobea katika fani hiyo.
Sasa nashindwa kuelewa tatizo lako maana sisi tunaweza kukaa mahali popote na mtu yeyote bila kuogopa.
Kama ulikimbia umande, then I am very soooorry!!

mh haya sasa
 
Kwa Fikra zangu Wahaya wanaogopwa kwanza wao Wahaya katika Elimu huwa wamesoma Vizuri wengi wao na Wakiwa katika Uongozi wa juu hao Wahaya huwa na ubaguzi Fulani katika Madaraka kwa Mfano akiwa Mhaya ni Meneja Mkuu katika Shirika Au Kampuni fulani basi wachini wake atakuwa mhaya mwenzie au hata na watatu wake atakuwa pia mhaya Mwenzake hayo ndio Matatizo ya Wahaya kwa upeo wa macho yangu na hata Kabila lingine la Wachaga mambo yao yanafanana kama ya wahaya Ubaguzi wa katika Maofisini na kuwekana wao kwa wao peke yao katika uongozi wa hilo shirika au katika Kampuni utafikiri hilo shirika au Kampuni ni ya kwao wao hayo ndio mawazo na fikira zangu mimi
 
Wahaya wamesoma sana hivyo wanajua haki zao, uwa hawaonewi hovyo hovyo. ndio maana wanaogopwa, suala la ngono, fuatilia takwimu ya TACAIDS, utakuta mbeya wanaongoza kwa ukimwi, wanafuatiwa Iringa na Dar, wahaya hawamo hata kwenye top ten za ukimwi, upo

Siku hizi hawamegwi hovyo hovyo
 
achana na hao watu...wanapenda sana kumega/kumegwa nnje tena bila usalama wowote...ngoma nje nje hapo...

UTAKUFA NACHO KIJIBA CHA MOYO.
Infuakti hawa jamaaa hamtuwezi kitendo cha kila siku kutaka kutujadili sisi inaonyesha ni kwa kiasi gani tuko juuu na ni threat, bahati yenu BABU yenu aliyeiletea umasikini nchi hii alitupunguza makali. hizo fact zote mimi binafsi sijawahi kukutana nazo unless wewe ni mmoja wa WASWAHILI fulani ambao hamtaki hata kuwapangisha nyuma wanaume wenye wapenzi au wake.

THE TRUTH is wahaya wanajua haki zao, hawako tayari kwa manyanyaso, sio kama nyie mnaonyanyaswa na wenye nyumba kama vile mnakaaa bure.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom