Masanilo
Platinum Member
- Oct 2, 2007
- 22,286
- 4,493
Nashindwa elewa kuna shida gani CCM? Mikutano ya kampeni ya Mwenyekiti lazima watu wachuliwe na malori na Mabasi na kupewa posho Kofia, Tshirt na Kanga ili watu wajaae hii ikiambatana na vikundi vya sanaa na maigizo kuleta watu. Kama haitoshi wabunge na madiwani lazima wanadiwe na Kikwete, Salma, Ridhiwani na Miraji kwanini? Kuna shida hapa