NATA
JF-Expert Member
- May 10, 2007
- 4,492
- 1,311
wametoa wapi ujasiri mbona walikuwaga waoga sana du yani leo hii wanaenda kuwachakachua wanajeshi wetu ?
Nini jeshini bana,kama ikulu wana kuchakachua vyakutosha?
wametoa wapi ujasiri mbona walikuwaga waoga sana du yani leo hii wanaenda kuwachakachua wanajeshi wetu ?
Hee !Kivipi tena?
We kachunguze tu!