Kwanini wadada (Females) Wanapenda Zaidi Ndoa Kuliko Mwoaji?

payuka

JF-Expert Member
Jun 17, 2010
829
127
Kuna wadada ving'ang'anizi sana! Unakutana nae hata wiki haijaisha anaanza kuleta habari za ndoa. Hata hamjasomana vizuri kujuana tabia yeye anaweka ndoa mbele kuliko kukufahamu wewe mwoaji.

Katika ka-research kangu kadogo nimegundua mambo yafuatayo:
  • wadada wa aina hiyo mara nyingi huwa wanataka kuosha kwa wenzie na jamii kwa ujumla kwamba nao waliolewa kwa ndoa, potelea mbali hata kama itadumu kwa wiki moja.
  • pressure kutoka kwa wenzie walioolewa.
  • frequency ya kuachana na maboy-friend na yenyewe inachangia binti kutafuta permanent residence!
 
I think its Just Security na Desire of Having a family.... kwa sisi wanaume is easy kuwa na partner huyu kesho yule, na kwenye society usionekane vibaya sana kama mwanamke akiwa na partners wengi kwa society anaonekana hafai na sio heshima. Pia who wants to be played.
 
I think its Just Security na Desire of Having a family.... kwa sisi wanaume is easy kuwa na partner huyu kesho yule, na kwenye society usionekane vibaya sana kama mwanamke akiwa na partners wengi kwa society anaonekana hafai na sio heshima. Pia who wants to be played.

Ni sawa mkuu, lakini najiuliza kipi kinatangulia kabla? kati ya kumpenda mwanaume wako atakayekuwa mumeo na kuipenda ndoa?
 
Ni sawa mkuu, lakini najiuliza kipi kinatangulia kabla? kati ya kumpenda mwanaume wako atakayekuwa mumeo na kuipenda ndoa?
Ndoa is like "an offer very hard to be refused".......... kwahiyo kwa yule atakayeiweka offer hii on the table ni bora kuliko yule anayetaka matanuzi - anyway ngoja kina dada wenyewe wajibu nisiwajibie
 
ni kwa sababu ya ile kitu yetu,the more you have partners the more inachakaa and less chances of finding someone who will be interested na hio bidhaa...so we always pray tunayempata ndio huyo atayeclose deal!!!:redfaces::redfaces:
 
ni kwa sababu ya ile kitu yetu,the more you have partners the more inachakaa and less chances of finding someone who will be interested na hio bidhaa...so we always pray tunayempata ndio huyo atayeclose deal!!!:redfaces::redfaces:


the more inavyochakaa, the more kama njemba zipo nyingi!
oraiti, kumbe bora ichakae kweye permanent residence au sio Pauline?
 
ni kwa sababu ya ile kitu yetu,the more you have partners the more inachakaa and less chances of finding someone who will be interested na hio bidhaa...so we always pray tunayempata ndio huyo atayeclose deal!!!:redfaces::redfaces:
With all this Chiniese products na cosmetic surgeries bado inachakaa???? I doubt it. Lakini what I think kinachochakaa zaidi ni heshima, na status katika Jamii.
 
ni kwa sababu ya ile kitu yetu,the more you have partners the more inachakaa and less chances of finding someone who will be interested na hio bidhaa...so we always pray tunayempata ndio huyo atayeclose deal!!!:redfaces::redfaces:
Asante dada Pauline nimekuelewa! Lakini sidhani kama ni wote wenye mtizamo huo.
 
Wapo wengi sana wa dizaini hii hapa hata hamjafahamiana fresh anataka NDOA!!
Lakini na sisi wanaume inatakiwa 2siwachezee 2 lakini kutangaza ndoa......!!!
Commitment kama hiyo inabidi u THINK IN 3 DIMENSIONS ucje ukajitia kitanzi!!
 
Wapo wengi sana wa dizaini hii hapa hata hamjafahamiana fresh anataka NDOA!!
Lakini na sisi wanaume inatakiwa 2siwachezee 2 lakini kutangaza ndoa......!!!
Commitment kama hiyo inabidi u THINK IN 3 DIMENSIONS ucje ukajitia kitanzi!!

ndo hofu yangu injinia, Ukiona mtu anataka ufanye jambo fulani kwa haraka inabidi uwe mwangalifu sana! bila hivo utakayokuja kuyasikia baada ya kufunga pingu za maisha utatamani ardhi ipasuke uingie usionekane tena.

Kumbuka ndoa ya Mkristo ni moja tu, Golden chance never come twice!
 
With all this Chiniese products na cosmetic surgeries bado inachakaa???? I doubt it. Lakini what I think kinachochakaa zaidi ni heshima, na status katika Jamii.

cosmetic surgeries wanaoaford ni macelebrity tu,typical mdada wa kitanzania sidhani km hili lipo kichwani mwake...hizo chinese products mie sijui km zipo zinazosaidia ni vyema tukaelimishana hapa LOLS!

i just think heshima na status zinachakaa lkn haya ni matokeo tu,na sio causes....ile kitu ikiwa imechakaa noone will be interested kukuoa and as a result heshima inapungua na hivyo kukufanya kuwa desperate!(its the other way of putting it...:redfaces::redfaces::party:
 
ndo hofu yangu injinia, Ukiona mtu anataka ufanye jambo fulani kwa haraka inabidi uwe mwangalifu sana! bila hivo utakayokuja kuyasikia baada ya kufunga pingu za maisha utatamani ardhi ipasuke uingie usionekane tena.

Kumbuka ndoa ya Mkristo ni moja tu, Golden chance never come twice!
Nimesikia Stories kwa wale ambao huwa ni wagumu kukubali ndoa mara nyingi kuna mabinti wachache (I mean wachache sio wengi) huwa wanawatrap kwa kubeba mimba ili mwisho wa siku mtu hakose cha kufanya bali kuoa
 
ni kwa sababu ya ile kitu yetu,the more you have partners the more inachakaa and less chances of finding someone who will be interested na hio bidhaa...so we always pray tunayempata ndio huyo atayeclose deal!!!:redfaces::redfaces:

Mwe! :pop2:
 
ile kitu ikiwa imechakaa noone will be interested kukuoa and as a result heshima inapungua na hivyo kukufanya kuwa desperate!(its the other way of putting it...:redfaces::redfaces::party:

Mpaka hiyo kitu ichakae to that extent basi shughuli lazima itakuwa ilikuwa ni ya hatari sana.... lakini as far as I know the thing being elastic after some time itarudi katika hali ambayo sio mbaya... pia nimesikia of some traditional means za kudeal na hiyo issue although sina uhakika na ufanyaji wake kazi
 
Lakini umetoa fundisho jinsi ya KUIBANA au inachakaa kivp hapo??!!!:A S-confused1:

ni kwa sababu ya ile kitu yetu,the more you have partners the more inachakaa and less chances of finding someone who will be interested na hio bidhaa...so we always pray tunayempata ndio huyo atayeclose deal!!!:redfaces::redfaces:
 
Lakini umetoa fundisho jinsi ya KUIBANA au inachakaa kivp hapo??!!!:A S-confused1:

hahahaa sio wote wenye acess na internet... i just assume lile somo litakuwa limewafikia wanawake wachache saaana kinyume na ambavyo ningependa...so kuna uwezekano kabisaaa kwa bahati mbaya wanawake wengine wakakosa lile darasa na kwa bahati mbaya nanihii zao zikachakaa kwa kutokujua!:party:
 
Hivi huko kuchakaa zinachakaa vipi??!!:A S-confused1:

hahahaa sio wote wenye acess na internet... i just assume lile somo litakuwa limewafikia wanawake wachache saaana kinyume na ambavyo ningependa...so kuna uwezekano kabisaaa kwa bahati mbaya wanawake wengine wakakosa lile darasa na kwa bahati mbaya nanihii zao zikachakaa kwa kutokujua!:party:
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom