Ground Zero
JF-Expert Member
- Jan 13, 2011
- 342
- 95
Hivi waarabu hawa wana maslahi gani na Zanzibar kiasi cha kutaka kutuharibia amani. Ukiwasikiliza viongozi wa uamsho wengi wanazungumzia misaada kutoka kwa ndugu zao uarabuni. Je huo ukaribu wa waarabu na Wazanzibar hasa wapemba na waarabu unatokana na nini?Hivi mwarabu wa oman ni karibu zaidi kiutamaduni na mpemba kuliko mpemba na mtanganyika wa kigoma?