Kwanini wa zanzibar wana jeuri dhidi ya bara?

Lakini hawa wandugu hawaangalia mbali,, hawaangalii miaka 1000 ijayo na zaidi. Duniani kitu kikubwa chenye thamani ni Ardhi. Tunakoenda na mambo ya pollution tunafahamu fika kuwa temperature inaongezeka na sea level vile vile. Kwa mantiki hiyo basi ardhi ya Zanzibar inapungua taratibu.

Wangekuwa na akili(siwatukani) za kuona huko mbali, wangetulia na kuja kujichanganya bara ili wawe na security. Hivi tukitengana na tukawatimulia mbali itakuwaje?

Nawashauri mambo mengine yatatuliwe tu kwa namna yoyote, lakini hili la kujitenga wasilifikirie kwa faida ya ZANZIBAR IJAYO.

Wasiwe wabinafsi hawa wanaoishi sasa kwa kujiona wanastahili kila kitu, sisi tunawapa security ya ARDHI.

Ila kama hawataki, basi tuwaache waende zao. Naamini umoja wetu wa bara ni very strong maana tuko wengi, tunataniana, tumeoana, na tunakaa pamoja(Dini tofauti). Watakuja kuelewa baadae watakapo kuwa wakimbizi wa Ardhi, Tanganyika. Na tutakuwa tumewatia sumu vizazi hivyo viwachukie sababu ya UBINAFSI WAO.

Shauri ZAO!
 
Hapo kwenye red bado sijaelewa. Wametajirika sana akina nani? Waitaliano wenye mahoteli au wazanzibari wapagazi? hahahahahah
Naona huyo ndugu anayesema wazanzibari wametajirika huend yuko ulaya na sidhani kama amewahi kufika Zanzibar,ndugu zanguni huko Zanzibari wananchi robo tatu ni malofa(sijatumia neno masikini makusudi)kwani ulofa ni zaidi ya umasikini ,wengi wao ni hohe hahe wamegeuka kuwa manamba,umasikini umetamalaki,na tofauti na bara ambako mtu anaishi kwa matumaini kule hakuna kitu hata kandambili mtu anashindwa kununua pale mjini unguja watu wanatembea pekupeku,wanashindia urojo na boflo,chakula ni bei juu,kwa mfano ndizi moja ya kuchoma au kukaanga ni sh 1000,nyama choma nusu kilo 5000.ajira hakuna wala shughuli za kilimo hakuna,pia umalaya na ushoga umeshamiri sana Zanzibar.Zanzibar wanaifaidi wataliano,waasia (baadhi tu sio wote)na wanasiasa,huko bado kuna utwana.Wanaopiga kelele za kuvunja muungano ni sehemu ndogo tu ya wanasiasa ambao kidogo wanaona zile nafasi za kunufaika kwao serikali ya muungano inazidhibiti,mimi nahofia wakija vunja muungano tutaanza kupata wakimbizi wa kizanzibari hapa bara,tambo za hawa jamaa hazina kitu jamani nendeni mkawaone life inavyowagonga hawa jamaa zetu
 
Back
Top Bottom