Mwanajamii
JF-Expert Member
- Mar 5, 2008
- 7,063
- 68
Tangu umeanzishwa mfumo wa vyama vingi vya siasa uanzishwe hapa tanzania, kitu kikubwa cha kujifunza ni uadui,chuki na kushutumiana baina ya vyama vya siasa hususan upinzani. Katika sikum za hivi karibuni,cdm imekuwa ikiibua tuhuma nzito dhidi ya cuf kuwa ni ccm B.cdm haohao wanawatuhumu TLP,NCCR na UDP kuwa sio wapinzani wa kweli.
Vyama hivyo navyo kwa nyakati tofauti huibua tuhuma dhidi ya cdm kuwa ni chama chenye ubinafsi,umimi,na kisichopenda ushirikiano.mfano mzuri ni huko bungeni ambapo upinzani umegawanyika katika suala la posho kwa wabunge, kuunda kambi ya upinzani na katika suala la katiba mpya...........
Swali-Je,nini mustakabali wa vyama vya upinzani tanzania, kwa nini chadema ina ugomvi na vyama vya upinzani.
Je,chadema itadumu chama gani kingine kitakachoweza kuibuka kama kilivyowahi kuibuka NCCR,CUF na sasa CHADEMA?
Vyama hivyo navyo kwa nyakati tofauti huibua tuhuma dhidi ya cdm kuwa ni chama chenye ubinafsi,umimi,na kisichopenda ushirikiano.mfano mzuri ni huko bungeni ambapo upinzani umegawanyika katika suala la posho kwa wabunge, kuunda kambi ya upinzani na katika suala la katiba mpya...........
Swali-Je,nini mustakabali wa vyama vya upinzani tanzania, kwa nini chadema ina ugomvi na vyama vya upinzani.
Je,chadema itadumu chama gani kingine kitakachoweza kuibuka kama kilivyowahi kuibuka NCCR,CUF na sasa CHADEMA?