Kwanini VODACOM NA CLOUDS FM wamefunga ndoa?

Kachanchabuseta

JF-Expert Member
Mar 8, 2010
7,269
675
Ukisikiliza matangazo mengi ya Clouds fm wanashirikiana na VOdacom kutangaza mabomu ya gongo la mboto

Naona makucha yaliyokuwa yamejificha ndo yanatoka sasa mchawi wenu mfaziri wa hawa wahuni ndo huyo kaamua kutoa makucha yake.


Kumbe nimejua kwanini clouds imeanzishwa under RA:embarrassed:
 
:A S thumbs_down::A S thumbs_down::A S thumbs_down::A S thumbs_down::A S thumbs_down:
 
Ukisikiliza matangazo mengi ya Clouds fm wanashirikiana na VOdacom kutangaza mabomu ya gongo la mboto

Naona makucha yaliyokuwa yamejificha ndo yanatoka sasa mchawi wenu mfaziri wa hawa wahuni ndo huyo kaamua kutoa makucha yake.


Kumbe nimejua kwanini clouds imeanzishwa under RA
:embarrassed:


Lengo hapa ni kusaidia jamii,hakuna lolote.Vodacom wanakitengo cha kuhudumia jamii na kimekuwa mstari wa mbele kusaidia jamii,limetokea jambo kubwa kunaubaya gani kushirikia na radio ambayo imeonesha kuwa karibu na jamii.Binafsi nachukia sana kuhusisha mambo muhimu na siasa au chuki binafsi,kwahiyo mtoa hoja unatak ndugu zetu wafe na njaa?
 
Ukisikiliza matangazo mengi ya Clouds fm wanashirikiana na VOdacom kutangaza mabomu ya gongo la mboto

Naona makucha yaliyokuwa yamejificha ndo yanatoka sasa mchawi wenu mfaziri wa hawa wahuni ndo huyo kaamua kutoa makucha yake.


Kumbe nimejua kwanini clouds imeanzishwa under RA
:embarrassed:


Lengo hapa ni kusaidia jamii,hakuna lolote.Vodacom wanakitengo cha kuhudumia jamii na kimekuwa mstari wa mbele kusaidia jamii,limetokea jambo kubwa kunaubaya gani kushirikia na radio ambayo imeonesha kuwa karibu na jamii.Binafsi nachukia sana kuhusisha mambo muhimu na siasa au chuki binafsi,kwahiyo mtoa hoja unatak ndugu zetu wafe na njaa?

Vodacom wanasaidia jamii hadi NECTA!!!!
 
Mtu anaongea utumbo bado wauliza haeleweki.
Wajama siö lazima kuanzisha topic kama huna logic
 
hivi na nyie muwe mnafikiria kwanza cha kuandika sio mnakurupuka tu bana
 
Back
Top Bottom